Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,455
- Thread starter
- #141
AmeenNimemkumbuka Charles Moose, Montgomery County Police Chief wa wakati huo.
May he rest in peace!
AmeenNimemkumbuka Charles Moose, Montgomery County Police Chief wa wakati huo.
May he rest in peace!
Sema Cha kumshukuru Jamaa ali shikwa.Mimi nilikuwa New York City, ila nilikuwa nawasiliana sana na wabongo wa Washington DC.
Ilikuwa wakitoka nje tu wanaona wanaweza kupigwa risasi muda wowote.
Kuna Jaji mmoja alimhukumu mtu mmoja hukumu mbili za kufungwa maisha kwa kuua watu wawili.Sema Cha kumshukuru Jamaa ali shikwa.
Sema adhabu wanazo pewa ni nyepesi.
Huwezi ha watu 10, Kisha upigwe sunu au unyongwe Mara 1 tu.
Ina faa una katwa kidogo kidogo, mpaka uone what it feels to be killed.
Hahaha, huyo kweli alikuwa ana hasira aisee.Kuna Jaji mmoja alimhukumu mtu mmoja hukumu mbili za kufungwa maisha kwa kuua watu wawili.
Nikajiuliza.
Sasa, hizo hukumu mbili za kufungwa maisha atazimalizaje? Ina maana akifa bado anatakiwa atumikie kifungo kingine cha maisha?
Au hukumu mbili za kufungwa maisha zinaenda pamoja?
Kama zinaenda pamoja, kuna tofauti gani kati ya hukumu moja na mbili hapo?
Nasogeza chama 😆🤣, ila deep una jua Sina ujanja kwako😍🤗Kumbe upo group la kataa ndoa😁😁
Pamoja mkuu.Iko muzuri sana
Ka copy fb kwa dr Chriss CyliroHuyo buyobe anaecopy story za jf halafu anawalipisha watu huko X.
Kwani huyu jamaa hii story kaitoa wapi?? Ni kuitranslate tu toka kinge kuja kibongo na huenda ndizo Buyobe anazowateka nazo huko X lakini ndo ivo uthubutu wa kujenga brand ndo watu hawana.
Mkuu hii story tume Soma kwenye group letu, sasa hata huyo mtu simjui aisee.Ka copy fb kwa dr Chriss Cyliro
Ndiyo mwandishi wa hizi makala,hata story iliyopita mwandishi ni yuleyule
Huyu wa humu jf yeye anabeba kama ilivyo analeta huku na kujidai ni yeye!!
Hatakama mkuu...I swear mkuu, hao investigation discovery siwa jui mzee
Nope it doesn't matter at all.Hatakama mkuu...
Lakini si umetupa mchapo..
Kuna mahala umechukua yes, does it matter!?
Acha roho mbaya wewe hiyo credit inasaidia nini?Watanzania tuache kupenda short cut kwenye maisha
Huwezi enda copy crime documentary kutoka IDx (investigation discovery) alafu unataka watu wakupe credit kwa kucopy
Hii ni mara ya pili nakuona unataka kuchukua point kwa kucopy crime documentary kutoka investigation discovery bila kuwapa credit
Sisi tuliosoma hii simulizi tumefurahi sana acha masuala ya upinde dogoMimi siwezi copy na kupaste kazi ambayo walishafanya watu wengine huo mda ni bora nifanye mambo mengine
MkuuWatanzania tuache kupenda short cut kwenye maisha
Huwezi enda copy crime documentary kutoka IDx (investigation discovery) alafu unataka watu wakupe credit kwa kucopy
Hii ni mara ya pili nakuona unataka kuchukua point kwa kucopy crime documentary kutoka investigation discovery bila kuwapa credit
Hatari nzito.Hatari sana.
Wewe na john muuaji mna tofauti gani wote ni waongo tuI swear mkuu, hao investigation discovery siwa jui mzee