Baba mkwe anataka kunioa

Baba mkwe anataka kunioa

Kataa kabisa kuolewa na baba mkwe...

Utaanzisha uhasama na chuki zisizokuwa na mpangilio plus nuski na mikosi juu yake...


Cc: mahondaw
 
uwiiii ni laana iyo kata mawasialiano kabisa hana adabu uyo
 
Umesema wewe na Wazazi wako MKA AMSHA POPO??? Basi kama huna adabu hata kwa kuwaheshimu wazazi wako basi Mpe tu Baba Mkwe haina shida
 
Wandugu nimekuja humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.

Ni muda sasa umepita tangu kuachana na mume wangu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa na pale.

Wazazi wakatuita kusuluisha lakini baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka na mimi nikaelekea kwangu.

Sasa ni muda baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe uhusiano na baadae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.

Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida. Nikamshtaki kwenye ukoo au?
Acha kutafuta matatizo dada..kumbuka familia iliyosema ndoa yenu ivunjike ni hyohyo ss ukiolewa nae mkipata changamoto utaomba ushauri wapi
Alishindwa kuwapatanisha yeye kama mzazi
Jee sasa ivi ndio ataweza kujipatanisha mwenyewe mkigimbana


Mambo mengine hata si ya kuomba ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutafuta matatizo dada..kumbuka familia iliyosema ndoa yenu ivunjike ni hyohyo ss ukiolewa nae mkipata changamoto utaomba ushauri wapi
Alishindwa kuwapatanisha yeye kama mzazi
Jee sasa ivi ndio ataweza kujipatanisha mwenyewe mkigimbana


Mambo mengine hata si ya kuomba ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ni aibu
Utapita wapi, uyo baba mkwe ni weak sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu nimekuja humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.

Ni muda sasa umepita tangu kuachana na mume wangu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa na pale.

Wazazi wakatuita kusuluisha lakini baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka na mimi nikaelekea kwangu.

Sasa ni muda baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe uhusiano na baadae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.

Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida. Nikamshtaki kwenye ukoo au?
Quran inakataza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu nimekuja humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.

Ni muda sasa umepita tangu kuachana na mume wangu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa na pale.

Wazazi wakatuita kusuluisha lakini baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka na mimi nikaelekea kwangu.

Sasa ni muda baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe uhusiano na baadae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.

Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida. Nikamshtaki kwenye ukoo au?
Wachaga hizi
tabia zenu mtaziacha lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom