Baba mkwe anataka kunioa

Baba mkwe anataka kunioa

Mmmmh ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni ‍♀️
 
Kama mshaachana na mumeo shida iko wapi.... olewa mama wala usijaliii.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Hivi mwanamke kabisa unajiita bushland? Mmh where is sense of humour, pole sana unataka tukusaidijeje labda?
 
Usikubali utaanzisha mpasuko kweny familia yao

et al
 
Wandugu nimekuja humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.

Ni muda sasa umepita tangu kuachana na mume wangu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa na pale.

Wazazi wakatuita kusuluisha lakini baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka na mimi nikaelekea kwangu.

Sasa ni muda baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe uhusiano na baadae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.

Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida. Nikamshtaki kwenye ukoo au?

Ni wewe yule yule au mwingine! Nyuma (rejea post yako Naombeni ushauri wanaume wenzangu) ulidai wewe dume, hapo juu wewe mwanamke! Du, kweli JF kuna wanachama viatu na watu!!
 
Wandugu nimekuja humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.

Ni muda sasa umepita tangu kuachana na mume wangu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa na pale.

Wazazi wakatuita kusuluisha lakini baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka na mimi nikaelekea kwangu.

Sasa ni muda baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe uhusiano na baadae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.

Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida. Nikamshtaki kwenye ukoo au?
Ainaga ubaba mkwe tunakulàga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom