miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ha ah ahhaha mkuu banaKama nyani na ngedere wangekuwa na hela... USIKUTE MIDA HII MISS Chagga unaishi mikumi... Jirani yako fisi
ha ah ahhaha mkuu banaKama nyani na ngedere wangekuwa na hela... USIKUTE MIDA HII MISS Chagga unaishi mikumi... Jirani yako fisi
Haya naja kukusafisha na hiyo sabuni.sabuni ya roho
karibu sanaHaya naja kukusafisha na hiyo sabuni.
Ndo hivo... maana kama ishu ni hela haijalishi anayo nani.. ALIPO UPOha ah ahhaha mkuu bana
mkuu pesa ndiyo kila kitu aiseeNdo hivo... maana kama ishu ni hela haijalishi anayo nani.. ALIPO UPO
Na akishaaanza kukududua niambie nikuletee khanga yenye maneno, 'Ulichokiacha wenzio wanakifaidi', umvalie mumeo wa zamani...Olewa naye umkomeshe mumeo kwa kusikiliza maneno ya watu! Yeye alivyokuacha alitegemea nani awe anakududua?
Hahahah.... acha janja ya nyani, eti ukashitaki kwenye ukoo. Nakuona unavyomezea mate hii nafasi ila nikutahadharishe ukija ukakubali umeliwa na utaamsha yaliyokuwa yamelala na kingine hata hilo DUME (la ng'ombe, mbuzi au Temba?) ulilosema itakuwa ni majangaaaaaaa.....Wandugu nimekuja. Humu kuomba ushauri kwa hili swala linalonisumbua.
Ni mida sasa umepita tangu kuachana na dume langu nililokuwa naishi nalo baada ya mzozo wa hapa Na pale.
Wazazi wakatuita kusuluisha lakini Baba mkwe akakomalia hataki kuona tukirudiana huku akitoa sababu ambazo hazina msingi wa maana, wazazi wangu kuona vile wakaamsha popo tukaondoka namimi nikaelekea kwangu.
Sasa Ni muda Baba mkwe amekuwa akinilaghai anataka tuanzishe Uhusiano Na badae ikiwezekana tuanze kuishi pamoja, mkewe alifariki katika ajali ya gari miaka 7 iliyopita.
Wanajamii hii kitu ndo kwanza naisikia kutoka kwa huyu Baba naona sio kawaida,.
Nikamshtaki kwenye ukoo au?
kweli akubali ndoa akae muda adai mgawanyo wa malikama anahela jiongeze
$100 reserved for you madam this eveningkama anahela jiongeze
Mzigo amepewa kwa ajili ya kuliwa so ampe ale tu hamna namnaanataka umpe mzigo doh