Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,392
Nakuomba Nelea usitoe mimba yangu.........
huenda akawa Eminem huenda akawa Benny...
Nakuomba Nelea usitoe mimba yangu.........
Abdul ni jina tu, Abdul wako wengi kwa hiyo sio issueDiamond anapaswa ajiulize kwa nini anajiita nasib abdul badala ya nasib sanura, ajishajua hata pata shida kumhudumia hau kumpangia mshahara hata laki mbili tu kwa mwezi, wazazi wengi huwa wanakosea sana lakini watoto hatupaswi kulipiza kisasi kwa makosa waliofanyiana wazazi, hata sisi tulitelekezwa lakini tuliweka mambo sawa na maisha yanaendelea.na kama Diamond ataendelea hivyo asahau kuwa na familia yake ataishia kula bata maisha yake yote.
huyu mtoto wa kariakoo, walikuwa wanacheza mpira na mbwiga wa mbwiguke Enzi hizoKutoa matumizi ya Nyumba mbili ni ngumu sana. Diamond hajakosea kuamua Kutoa matumizi ya pale alipokulia tu. Km mshikaji anataka huduma basi arudi huko diamond alikotoa matumizi, mtu wa kumlalamikia sio diamond ila ni mkewe ampe huduma. Mtu hayuko nyumbani utamsaidiaje. Afu huyu jamaa sio mzee ni kijana kabisa afu kanyoa kiduku kuashiria kuwa yeye ni wa kisasa
Aaaha! Wewe Mazaa nawe kila Kona upo........By the way huoni ule Mbichwa Ni Kama Diamond?Kama anapata milo mitatu kwa siku anahitaji nini zaidi? Kufatana na Diamond?
Kwanza kuna uzi humu unasema huyo si baba'ke mzazi. Asijipendekeze.
kweli kabisa hata kama ana njaaa sio kujidhalilisha kiasi hikiKama kuna mzazi juha huyu jamaa anashika namba moja...mzazi mwenye kujitambua hawezi kukubali huu upuuzi wa kuhojiwa kwenye gazeti la udaku mambo binafsi yanayohusu familia yake
Huu ni upuuzi na upumbavu wa kiwango cha juu mno
Hivi kalipwa bei gani?
Hivi anajua jamaa wametengeneza bei gani kupitia hiyo habari
Huyu hajitambui na atafakari alipokosea kuliko kuja kulialia kwenye vyombo hovyo vya habari...huku ni kujidhalilisha
Sio lazima u quote habari ndefu hvyo, inaleta tabu kwa tunaotumia simu.kwani huyu mzee ana mtoto mmoja tu (diamond) ?
Angalia pamba alizopiga mzee,angalia mnyoo,angalia anavyong'aa usoni,does he look like someone in trouble to u??...Mzee ana Nyumba magomeni...baba mwenye Nyumba tena magomeni karibu na town unashindaje na Njaa??unanyuka pamba kali afu ushindwe pesa ya kula??afu huyu hakupotezana na mwanae,huyu alimtelekeza Mwanae,alijua mwanae alipo na still hakutoa matunzo...ss issue ya kusamehe ni ya diamond,maana yy ndo anajua mateso aliyopata wakati mzee wake anakula bata,we don't have the right to judge au kushinikiza kitu abt this..Mkuu, umeandika kwa hekima sana! Huyu Diamond, mimi nimeshamuona kama mpumbavu tu, kuna watoto
wa kiume wengine sisi hatuna baba (tunaumia) na kuna wengine walikosana na baba zao sana tu, na huwa wanawasamehe na kuwasaidia. Na kuna wengine walipoteana na baba zao kitambo huwa wanawatafuta
mpaka wanawapata na kama walishafariki huwa wanaumia
sana! Sasa huyu Diamond anamwacha baba yake bila ya msaada hivi ni kosa gani la mzee huyu ambalo halipaswi kusamehewa? Mzee anaishi maisha magumu, Diamond anajidai kutoa
misaada kwa watu baki bila ya kumjali baba
yake sasa ni huruma gani aliyonayo kwa watu baki kuliko
baba yake mzazi ambaye Diamond
bado anatumia jina lake katika majina yake
matatu. Basi kama Diamond hampendi baba yake, aache kabisa kutumia jina la baba yake, atumie jina la ukoo wa mama yake halafu huyu mama Diamond naye ni mtu wa majungu na huyu Diamond hata aende wapi huyo mzee ndio baba yake ni busara akamkumbuka!
Umenena vema mkuu,hata sisi baba yetu hakutusomesha na pesa alikuwa nayo lakini mama alikomaa tukasoma na baba akafulia akawa home tu tulimjali sana mpaka akafariki akituombea baraka tele
Kabla Diamond hajawa na pesa yeye alikuaga ameshiba tu,diamond alivyoanza kuwa na pesa na dingi ghafla akaanza kuwa na njaa tena kali!
Kwani haikumpasa diamond kwenda kutafuta pesa?
Huyu mzee hata hio kuumwa miguu naona kama anaZuga ili apate huruma.
Hii ni mfano kwa wanaume wanaowakimbia watoto wao!!