Baba Diamond Ashinda Njaa

Baba Diamond Ashinda Njaa

Hapa ni duniani tu tujifunze kusameheana kama mafundisho ya mwenyezi Mungu.Amekosa ndio lkn anayo haki ya kusamehewa.Diamond siku ya hukumu na ww ukiomba msamaha kwa Mwenyezi si utahitaji kusamehewa? Basi anza kusamehe hapa dubiani pia hamna mwanadam mkamilifu!All the best!


Kuna watu wa ajabu sana Dunia hii kama wewe unawezaje kumuhukumu mtu usiyemjua? Unamjua Diamond kwa kiasi gani mpaka uweze kuandika uliyoandika?
Unajua historia ya maisha yao?
 
Mahojiano marefu CloudsTV kuliko video clip ya Global Publishers TV (TV na Magazeti Pendwa ) na Baba Diamond ili wadau muweze kujua zaidi bila ya kutoa hukumu:

Mahojiano ya CloudsTV na Baba mzazi wa Diamond nyumbani kwake Magomeni :

Abdul ni baba mzazi wa mwimbaji wa Tanzania Diamond Platnumz ambapo D'wikend chat show ya CloudsTV ilimfata na kumfanyia mahojiano nyumbani kwake Magomeni na kuzungumzia mengi ya maisha yao toka enzi hizo na mengine ya sasa:


Source: Millard Ayo
 
Haya jishindie nyumba ya milioni 500 hapo kwa kununua Shigongo. Swali: Kwanini kavaa sandals na soksi hivyo wakati anapigwa na joto? Maumivu mengine ni ya kujitakia
 
The law of karma imefanya kazi yake kwa huyo mzee wa diamond.

What goes around comes around.
Aisee big up Diamond! Huyu baba kabla hajaenda kwenye vyombo vya habari kumdhalilisha mwanawe aweke wazi mchango wake kimakuzi kwa mtoto wake. Vinginevyo anazidi kujidhalilisha zaidi. Alikosana na mkewe iwewje atelekeze na watoto? Nina wachukukia sana wanaume wenzagu wa aina hii. Binadamu uwe mwanamke au mwanaume ukazaa na kukimbia wajibu wako wa kulea thamani yako inakuwa ya chini kuliko mbwa koko!
 
Mkuu, umeandika kwa hekima sana! Huyu Diamond, mimi nimeshamuona kama mpumbavu tu, kuna watoto
wa kiume wengine sisi hatuna baba (tunaumia) na kuna wengine walikosana na baba zao sana tu, na huwa wanawasamehe na kuwasaidia. Na kuna wengine walipoteana na baba zao kitambo huwa wanawatafuta
mpaka wanawapata na kama walishafariki huwa wanaumia
sana! Sasa huyu Diamond anamwacha baba yake bila ya msaada hivi ni kosa gani la mzee huyu ambalo halipaswi kusamehewa? Mzee anaishi maisha magumu, Diamond anajidai kutoa
misaada kwa watu baki bila ya kumjali baba
yake sasa ni huruma gani aliyonayo kwa watu baki kuliko
baba yake mzazi ambaye Diamond
bado anatumia jina lake katika majina yake
matatu. Basi kama Diamond hampendi baba yake, aache kabisa kutumia jina la baba yake, atumie jina la ukoo wa mama yake halafu huyu mama Diamond naye ni mtu wa majungu na huyu Diamond hata aende wapi huyo mzee ndio baba yake ni busara akamkumbuka!
kati ya wewe na mama diamond nani anajua baba halisi wa diamond, kati ya mzawa na wewe nani anajua uchungu wa baba yake!
 
Watu wengi mnacomment bila kusikiliza hiyo clip! Dingi anaongea sense! Yeye alii njaa waandishi ndo wanamfata na dingi kumbe ana nyumba yake! Yeye anaongea ukweli na hana mpango wa kumrudia mama diamond! Inavyoelekea watoto wanataka mzee anyenyekee sana na dingi hataki! Sema kichwa cha habari kimetengeneza kuuza
Siyo kweli, huyo mzee anashida kwa taarifa yako kama haujui kusoma sura ya mtu akiwa anaongea.
 
Hahahaaa!watu miaka michache ile ilopita walikua wanahustle..Wanaakka asubuhi wanawaza leo tunakula nini?? diamond na mamake wanahangaika japo wapate hela ya unga na dagaa wale wasavaivu hapa mjini..Walikua walikua wanaishi kwenye nyumba ya bibi yao tandale.Cjui kama sio huyo bibi kuwapa makazi wangelala wapi?diamond anaungua na jua kali la dar,Kachafuka mweusii kuuza mitumba wapate hela ya kula na mamake...Huku mzee kakumbatia wanawake wengine ndani ya nyumba yake hana habari..Ni mama diamond alikua na cheni yake ya dhahabu moja aloipebda sana akaenda kuiuza kwa sonara hela akmpa diaomnd aende studio akarekodi wimbo wake wa kwanza..Leo maisha yamebadilika unamuona wa maana!! nenda shamba kalime baba mungu kashakufunza!
umezungumza la maana sana mwanangu, najua utakuwa binti wewe au kama mvulana basi mwenye kujua maana. naona wengi humu wanabwabwaja tu
 
Dada haya maneno makali sana kwa mzazi, ni kweli anakosea na anazidi kujiaibisha kwa kukubali kuhojiwa na magazeti ya udaku lakini ukweli halisi amechanganyikiwa kwa kuona mtoto wake anatanua ilihali yeye anapata milo mitatu kwa siku kwa shida. Mie naona ni kawaida kuchanganyikiwa kwenye hali kama hii, inatakiwa akubaliane na hali halisi kisha maisha yaendelee, anaonekana ana nguvu na bado ni kijana wa kati, siwezi kumuita mzee.
baba yangu yupo kijijini anahangaika na maisha lakini hajawahi nisema kitaa kuwa sijampa hela! anajua haitasaidia. sasa huyu na nguvu anazo anasimamaje na kumpaka tope mtu! kakuambia Zari alikuwa anamsaidia sana,,iweje leo hii aisimsaidie!,ujue ana gubu. anadai wala hataki kumuona zari tena.,huu si ujuha! hutaki kumuona mtu ambaye mwanao anabinua mkundu juu yake ,! sasa kama zari kakosea na huwezi msamehe iweje ww usamehewe!
 
Kama anapata milo mitatu kwa siku anahitaji nini zaidi? Kufatana na Diamond?

Kwanza kuna uzi humu unasema huyo si baba'ke mzazi. Asijipendekeze.
anadai hataki kumuona zari ambaye kila siku anaunyonya iwe kwa mdomo au papuchi udagaa wa diamondo, kama kashindwa kumsamehe na kumtambua zari ambaye alikuwa anamsaidia na kujaribu kuwaunganisha, leo hii anataka diamondo amsamehe vipi yeye. maongezi yetu humu jf hayamsaidii lolote akajiunge katika kilimo. baba yangu na mama yangu hawaishi pamoja lakini kila mmoja analima kweli
 
Diamond ili kuepuka laana msaidie Mzee wako ata kama alikukimbia una mahela mengi mtupie at a vilaki vilaki kumbuka kakupa na kipaji cha kunjunja nawe hujambo, nawe mbona umewakimbia kina wema, penny, jokate madem kibao tu sasa we unamkomalia Mzee wako Lisa hill io ndo raha ya tam, pengine hats angekulea usingefikia hapo
 
Waheshimu baba na mama yako ili upate heri na siku nyingi duniani. Amri ya tano hiyo, Kutoka 20. Haijalishi how bad did daddy mistreat you, mbariki ili upate ahadi hizo toka kwa Mungu. Ingawaje wazazi wanapaswa ku-win upendo wa watoto wao wakingali wadogo (age 0- 10) hasa wazazi wa kiume. Take a time kumuogesha mwanao hata kama ni wa kike, mvishe nguo, msaidie kunawa anapojisaidia haja ndogo na kubwa, kula na mtoto, toka naye outing ndogo ndogo, talk them friendly. Usiwe mere bread winner kwa watoto! Otherwise mkeo/ mzazi mwenzio atateka ufalme na umalkia wote. We learn through the mistakes of the others.
 
kati ya wewe na mama diamond nani anajua baba halisi wa diamond, kati ya mzawa na wewe nani anajua uchungu wa baba yake!

Mkuu, mimi sijui. Naona tu unataka kuifufua hii thread kwa maswali ya kipuzi wakati majibu yake unayajua.
 
Mkuu, mimi sijui. Naona tu unataka kuifufua hii thread kwa maswali ya kipuzi wakati majibu yake unayajua.
Basi sasa kama haujui nami sijui, hivyo tuwaache watayamaliza wao! kila siku baba diamond. tunahitaji vitu vipya vya kusikia
 
Watanzania tuache kushabikia ujinga huo baba ana nguvu za kutosha kufanya kazi na kujitegemea; bado hajafikia umri wa kuwa tegemezi.
 
Back
Top Bottom