Celex elicia lucas
Member
- Jul 18, 2012
- 69
- 25
Mkuu usimlamu huyo Mzee, hafu WW Ni Kidume pia, huwezi kujua nini kilitokea mkuu kwenye mahusiano Yao! Vp Kama Mama alikua Tatizo, vp Kama Mama D aliwasakizia mimba Wanaume wawili?
angeenda kuchek dna ajue kama ni mwanae amhudumie na sio kukataa kumhudumia.