Baba Diamond Ashinda Njaa

Baba Diamond Ashinda Njaa

Huyo anaonesha ni teja kama si teja basi ni tapeli lisiloridhika.
Dada haya maneno makali sana kwa mzazi, ni kweli anakosea na anazidi kujiaibisha kwa kukubali kuhojiwa na magazeti ya udaku lakini ukweli halisi amechanganyikiwa kwa kuona mtoto wake anatanua ilihali yeye anapata milo mitatu kwa siku kwa shida. Mie naona ni kawaida kuchanganyikiwa kwenye hali kama hii, inatakiwa akubaliane na hali halisi kisha maisha yaendelee, anaonekana ana nguvu na bado ni kijana wa kati, siwezi kumuita mzee.
 
Dada haya maneno makali sana kwa mzazi, ni kweli anakosea na anazidi kujiaibisha kwa kukubali kuhojiwa na magazeti ya udaku lakini ukweli halisi amechanganyikiwa kwa kuona mtoto wake anatanua ilihali yeye anapata milo mitatu kwa siku kwa shida. Mie naona ni kawaida kuchanganyikiwa kwenye hali kama hii, inatakiwa akubaliane na hali halisi kisha maisha yaendelee, anaonekana ana nguvu na bado ni kijana wa kati, siwezi kumuita mzee.

Kama anapata milo mitatu kwa siku anahitaji nini zaidi? Kufatana na Diamond?

Kwanza kuna uzi humu unasema huyo si baba'ke mzazi. Asijipendekeze.
 
Diamond anapaswa ajiulize kwa nini anajiita nasib abdul badala ya nasib sanura, ajishajua hata pata shida kumhudumia hau kumpangia mshahara hata laki mbili tu kwa mwezi, wazazi wengi huwa wanakosea sana lakini watoto hatupaswi kulipiza kisasi kwa makosa waliofanyiana wazazi, hata sisi tulitelekezwa lakini tuliweka mambo sawa na maisha yanaendelea.na kama Diamond ataendelea hivyo asahau kuwa na familia yake ataishia kula bata maisha yake yote.
 
Huyo sio mzee,ni mtu wa makamo,
liwe fundisho kwa wanaume wanaotelekeza watoto wao......

Arudi kijijini akalime
 
Baba sio kuzaa tu...na kulea pia. Hata hivyo Diamond amsamehe baba yake. Baba yuko mmoja tu
 
Naomba kuuliza kwanini anaitwa mzee?ni gia ya kukwepa kurudi shamba?
 
....ROHO YA KINYAMA INAYOONGEZEWA CHUKI NA KAMAMA KA OVYO......
wats money #shits!
 
Baba atabaki kuwa baba huwezi pata mwingine wala huwezi pindisha hilo
 
Laana hiyooooo inakuja......
hakuna laana hapo,huyo mzee mwache aisome namba!alifkr kukaza ***** diamond ndo kamaliza?kama kulea kulimshinda basi atulie
ungemkuta enzi hizo alivyotofautiana na mzazi mwenzake na mijineno yake ' sitoi hata kumi, we lea tu akikua atanitafuta kutofautiana na mzazi mwenzio utupe na mtoto ni mbaya,

huyu mzee mkorofi katibuana na qeen darlin tena
wazazi kama hawa ni wakutia moto
Hili fundisho tunalipata wazazi ambao watoto wetu bado wadogo.
Sio tunadinya halafu tule kona, tudinye na tuwe tayari na majukumu ya matokeo ya Kudinya.
Vinginevyo ndio haya ya mzee Diamond.
Mzee anadhalilika tu ilihali mwanzo alikimbia majukumu.
Mama Diamond alifuata mfumo wa wanawake wa Kijapan....
umeongea mkuu
Mkuu unaongea from experience, ila nimecheka sana, hahahaha, kiukweli mzazi asiyekusaidia hata wewe utaona hana thamani.
ahahaha,
 
Diamond anapaswa ajiulize kwa nini anajiita nasib abdul badala ya nasibu sanura.

Hapana...!
Aliitwa Nasibu Abdul akiwa shule, labda na vyeti vya kuzaliwa angali mtoto. Yeye kwa utashi wake anajiita Chibu Dangote.
 
Hana kazi huyu jamaa....??? Alikuwa anaishi vipi kabla ya mwanawe....!??
 
Huyu mzee Lofa kweli!Hana tofauti na Baba yangu!Baba yangu yupo,ila hakuwahi nilipia hata thumni ktk elimu yangu zaidi ya mjomba angu upande wa mama,halafu kesho niwe mbunge wa iramba kupitia chadema,ndio aje ajifanye ananijua?hatopata hata dala langu kudadadeki!
Brother i know the feelings fella!
 
kwani huyu mzee ana mtoto mmoja tu (diamond) ?
Mkuu umeniwai aseee, hivi watoto wengine wanajiskiaje mshua wao akiwa katika hali ile, na je hao madogo wengine wameshawai mshauri chochote mondi kuusu mshua au nao wanameza bata tu. Hivi ikitokea huyu mzee akadanja mondi ataliaje yaan. Kuna mambo mengine waachie baba na mama ndo wanajua walitongozana vipi
 
Diamond hakupaswa kumchukia mzee wake eti kisa alikuwa haelewani na mama huo ni ugomvi wa wazazi ambao wewe hupaswi kujua unaki kuwa siri yao kumbuka aibu hiyo unapata ww na simwingine
 
Nikubaliane na hoja ya Mshana Jr kuwa huyu mzee sasa ifike hatua aachane na magazeti maana anaidhalilisha familia na yeye pia.

Mambo ya familia yasiwe chanzo cha fedha kwenye magazeti alhali familia ikidhalilika. Afe na tai shingoni kama ambavyo alikula pini hadi kupelekea hali hiyo itokee.

Kwa Diamond pia hii si habari nzuri pia maana kila uchao hawa wana udaku kukuandika kuhusiana na hili jambo la baba yako haipendezi. Wakanye wasiingilie masuala binafsi ya familia yako. Ikikupendeza pia sahau yaliyotokea kati yako na mzee wako.

Inawezekana angekulea yeye usingekuwa tunayekujua leo. Sometimes shida tunazosababishiwa huwa ni elimu tosha ya jitihada na mafanikio yetu. Mchukulie kama wakala wa njia ya MIIBA ili kuifikia NEEMA.

Mungu akupe moyo wa ujasiri wa kusamehe na ikiwezekana uwe ni chanzo cha kusababisha Baba yako na Mama yako warudiane na kuishi pamoja. Hili linawezekana. Inapendeza sana kuwa na familia iishiyo pamoja kwa amani na upendo.

Safari kama hizi za nje zaweza kuwa sehemu nzuri ya kutafuta suluhu kati ya wazazi wako. Hutaamini ukijaribu kwa nguvu zote na maarifa yote kulifanikisha hili.

Kwa Mungu thawabu ni kubwa ukifanikiwa kulitenda hilo.
 
Diamond kama mtoto Wa kiume sahau jikaze unaweza ukakuta ata wewe uliacha mbegu sehemu msaidie baba yako shoo moja tu inamtosha matumizi kama utaki kumpa,ela mweke bili hotel karibu awe anakula Milo mitatu mpeleke hospital umwache Fanya kama MTU aliyechangia mbegu zako ukaja duniani kama mwanaume Fanya ivyo jua mama yako bila huyo mzee kuchangia mbegu zake usingekuwa diamond ata ulaya wachangia mbegu wanalipwa gari achakusikiliza kila kitu anachosema mwanamke ata Mungu alisema tuishi nao kwa akili
Kweli kabisa halafu mzee alishawahi kumuomba msamaha,
 
Huyu dingi kwani alimfanya nn Diamond?
Ali mtelekeza mond n mama yke kipindi mond bado mtoto so mama akachukua jukumu la kumlea mond pekee yke, n mond alipokuwa dogo alipokuwa anaenda kumuomba ela baba yke alikuwa ana mtimua n kipigo juu
 
Fundisho kwa baba wote wanaowasahau na kutowasaidia watoto wao, si baba wa Diamond yanamkuta ni wengi wa wababa wasiokuwa na huruma kwa watoto wao pindi wakiwa wadogo.
 
Back
Top Bottom