Baadhi ya wanaume, huu ujasiri mnautoaga wapi?

Baadhi ya wanaume, huu ujasiri mnautoaga wapi?

Wanawake wa aina yako bila shaka wamekosa hali ya kujiamini au siyo waaminifu kwenye mahusiano.

Mwanaume wako kuja kwako siyo kosa ila kosa ni kujiachia kama vile yeye ndiye mwenye chumba(mlipa kodi).

Kuna dharula za lazima ambazo zinaweza kujitokeza na yeye akawa sehemu ya msaada, akiwa hajawahi kufika kwako inakuwa tayari umetengeneza ugumu.

Haki ya nani sijui... Ila wanawake wengi mnafikiria sasa na siyo baadae.

Wanaume tukumbushane kuwa mwanamke akikupa umuhimu kwenye maisha yake atakushirikisha kwenye mambo yake.

Muhimu: Ni kosa kubwa sana mwanaume kujiachia kwenye ghetto la mwanamke katika hali yoyote ile.

Familiya
Intelligent businessman Selikavu Edo kissy dosho12
Nipe unachovuta kaka , maana umekuwa mtu wa nasaha na busara siku hizi 😅😅
 
Habarini za wakati huu wana JF.

Kuna baadhi ya wanaume mna hii tabia ambayo binafsi naona siyo nzuri na siyo busara kufanywa na mwanaume mwenye akili zake timamu.

Unakuta mwanamke kwasababu amekwambia anakaa mwenyewe, unataka akukaribishe kwake ilhali hakuna ulichomchangia yaani ndiyo kwanza mmejuana hata mwezi hamna, ushaanza oooh! Lini utanikaribisha kwako, natamani nipafahamu kwako.

Hata kama kakwambia yupo single acha kujipa huo ujasiri wa kwenda nyumbani kwa mwanamke ambaye humlipii kodi, na wanaume wengi wenye hii tabia wengi ni hawa wanaoishi Dar, mtakuja mvuliwe ubingwa huko, sijui mtamlaumu nani na wakati mmejipeleka wenyewe.
Hao ni wanaume wasinza dar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom