Baadhi ya wanaume, huu ujasiri mnautoaga wapi?

Baadhi ya wanaume, huu ujasiri mnautoaga wapi?

Jibu la swali.lako ni majibu mawili
1)mwanamke unaweza ukamlisha na kumtunza kwa miaka miwili ila yeye akikulisha na kukutunza miezi miwili tu utajuta kwa masimango na dharau .
2)Wanaume wa hivyo wanasema hivyo kukupimq wakitaka kujua nafasi yao mwanzo wa mausiano na kukusoma ...wapo wanaume wengi wanasema hivyo ika ukiwakalibisha wanakuwa wagumu kuja kwako .
Ni kweli mkuu hapo 2. Mimi kuna manzi niliitaka, siku za mwanzo tu nikaiuliza inakaa wapi, chap nikaomba kuisalimia ikanifikisha.

Mara 2 hivi napita kuipa hai, nikaona hakuna restriction any time inanikaribisha.

Nikalipa kbs kodi.. tena ikaniambia mpe baba mwenye nyumba.


Sasa ni mwendo mdundo, kumbe ipo inapamba yenyewe hakuna kima aliyekuwa kajiegesha. Hahahah
 
Ni kweli mkuu hapo 2. Mimi kuna manzi niliitaka, siku za mwanzo tu nikaiuliza inakaa wapi, chap nikaomba kuisalimia ikanifikisha.

Mara 2 hivi napita kuipa hai, nikaona hakuna restriction any time inanikaribisha.

Nikalipa kbs kodi.. tena ikaniambia mpe baba mwenye nyumba.


Sasa ni mwendo mdundo, kumbe ipo inapamba yenyewe hakuna kima aliyekuwa kajiegesha. Hahahah
Eeeeh! Hongera kwa ujasiri
 
Wanawake wa aina yako bila shaka wamekosa hali ya kujiamini au siyo waaminifu kwenye mahusiano.

Mwanaume wako kuja kwako siyo kosa ila kosa ni kujiachia kama vile yeye ndiye mwenye chumba(mlipa kodi).

Kuna dharula za lazima ambazo zinaweza kujitokeza na yeye akawa sehemu ya msaada, akiwa hajawahi kufika kwako inakuwa tayari umetengeneza ugumu.

Haki ya nani sijui... Ila wanawake wengi mnafikiria sasa na siyo baadae.

Wanaume tukumbushane kuwa mwanamke akikupa umuhimu kwenye maisha yake atakushirikisha kwenye mambo yake.

Muhimu: Ni kosa kubwa sana mwanaume kujiachia kwenye ghetto la mwanamke katika hali yoyote ile.

Familiya
Intelligent businessman Selikavu Edo kissy dosho12
Naona hujanielewa mkuu sikatai kwa mwanaume wangu kuja kwangu ila nasemea hawa wahuni anakutongoza leo kesho keshokutwa anajifanya anataka kuja kukusalimia kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom