Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,954
- 12,515
Sawa bikira la jfNyinyi wangapi? Wengine hatuendagi
Sawa bikira la jfNyinyi wangapi? Wengine hatuendagi
Sija mojawapo ya mwanaume ni ujasiri..lakini sio wa kiboya. Tahadhari ni mhm, hata uwe komando.Eeeeh! Hongera kwa ujasiri
Wanawake wa aina gani mkuu?JF tunaomba muunde jukwaa maalumu la wanawake wa aina hii kama mleta mada.
Walafi hatujali wala nini tunajilipua tu.
Kwanini unasistiza sana hapo kwenye Kodi? Inahusiana vipi na utayari wako wa kumkaribisha rafiki yako kwako?Tena mwanamke asiyemlipia kodi
Hauoni kama inahusiana?Kwanini unasistiza sana hapo kwenye Kodi? Inahusiana vipi na utayari wako wa kumkaribisha rafiki yako kwako?