Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,699
- 2,266
Umemaliza kila kitu..hii mada ifungwe.Hapo ulishaombwa nyapu ki silence saiz nyapu zinaliwa kwa kutengeneza mazingira kutongoza tumewaachia wasukuma 😄 am kidding
Umemaliza kila kitu..hii mada ifungwe.Hapo ulishaombwa nyapu ki silence saiz nyapu zinaliwa kwa kutengeneza mazingira kutongoza tumewaachia wasukuma 😄 am kidding
Ukiona hivyo ujue hao ndio hadhi yako na wapo kwenye cycle yako , na ndio saizi yako , jinsi ulivyo utapata mtu wa hadhi yako.Tena Bora limesemwa hili
Na hili nalo mkalishuhukikie
Bila haya wala soni anataka akashinde kwa mwanamke na Kodi halipi yeye... Hivi number wajaluo ndivyo mlivyo
SijakataaUkiona hivyo ujue hao ndio hadhi yako na wapo kwenye cycle yako , na ndio saizi yako , jinsi ulivyo utapata mtu wa hadhi yako.
Ndio maana nikasemaje ukiona mwanaume anafanya hivyo jua huyo ndio saizi yako nakaona anakumudu vzuri tu .Sijakataa
Hoja ya msingi na ya Uzi huu ni wanaume kuwa wepesi kwenda nyumbani kwa wanawake kirahisi rahisi tu
So hizo reaction zingine zitunze kwa ajili ya mada itakayohusu Hivyo
🤣🤣🤣Sema wanawake wakiafrika mnamasimango sana
Mimi nimedate rangi za mbele nilikuwa nateleza ganda la ndizi kuanzia kula n.k
Wazungu wabarikiwe
Kwa hiyo mkuu mpaka leo unaamini mwanamke anakuwa na mtu mmj as long akiombwa namba anatoaUKweli ni kwamba wanawake ambao hawataki kuwapeleka wanaume wanapoishi ni kwamba wanakuwa hawana mwanaume mmoja. Hivyo ili mambo yasiwe mengi wanazuia wanaume kwenda kwao kwa kisingizio kwamba watamwingiza future mume ama baba mtoto/watoto.
Ila unakuta kuna msururu wa wanaume wanaotoa hela ya kodi.
Wanakuja kusema eti wanawake tuna roho mbaya dah! Ila wanaume😂🙌Tena Bora limesemwa hili
Na hili nalo mkalishuhukikie
Bila haya wala soni anataka akashinde kwa mwanamke na Kodi halipi yeye... Hivi kumbe wajaluo ndivyo mlivyo
Haya umekataliwa kuja mara ya kwanza, mara ya pili, mara ya tatu bado unaomba tu ujeee 🤣🤣 hivi mmesahau akufukuzaye hakwambii toka
Maisha yenyewe ya kung'ang'ania kama luba yanatokea wapi
Ndiyo inavyotakiwaKweli ukiwa wife material unakua na misimamo Yako sio hawa wakina naniii🫣
Wanaume wa dar ugumu wa maisha umewafanya wawe wapumbavu sanaHabarini za wakati huu wana JF.
Kuna baadhi ya wanaume mna hii tabia ambayo binafsi naona siyo nzuri na siyo busara kufanywa na mwanaume mwenye akili zake timamu.
Unakuta mwanamke kwasababu amekwambia anakaa mwenyewe, unataka akukaribishe kwake ilhali hakuna ulichomchangia yaani ndiyo kwanza mmejuana hata mwezi hamna, ushaanza oooh! Lini utanikaribisha kwako, natamani nipafahamu kwako.
Hata kama kakwambia yupo single acha kujipa huo ujasiri wa kwenda nyumbani kwa mwanamke ambaye humlipii kodi, na wanaume wengi wenye hii tabia wengi ni hawa wanaoishi Dar, mtakuja mvuliwe ubingwa huko, sijui mtamlaumu nani na wakati mmejipeleka wenyewe.
Mkaribishe tu anayekulipia kodi.Habarini za wakati huu wana JF.
Kuna baadhi ya wanaume mna hii tabia ambayo binafsi naona siyo nzuri na siyo busara kufanywa na mwanaume mwenye akili zake timamu.
Unakuta mwanamke kwasababu amekwambia anakaa mwenyewe, unataka akukaribishe kwake ilhali hakuna ulichomchangia yaani ndiyo kwanza mmejuana hata mwezi hamna, ushaanza oooh! Lini utanikaribisha kwako, natamani nipafahamu kwako.
Hata kama kakwambia yupo single acha kujipa huo ujasiri wa kwenda nyumbani kwa mwanamke ambaye humlipii kodi, na wanaume wengi wenye hii tabia wengi ni hawa wanaoishi Dar, mtakuja mvuliwe ubingwa huko, sijui mtamlaumu nani na wakati mmejipeleka wenyewe.
Hongera yako mkuumim binafis siwezi kula tunda getoni kwa mwanamke ctakuwa komfotabo aisee.
Acha tu mkuu sijui kwanini wanapenda kamsererekoWanaume wa dar ugumu wa maisha umewafanya wawe wapumbavu sana
Daaah pole mzee,hii inatokeaje,samahani lakini.Ni kweli lakini dunia hii Ina mengi. Unaweza ugua ghafla na wenzako WASI respond kwa wakati. NSHA kutana na na huo mtihani uti wa mgongo ulikazaa SIWEZI amka nikavuta SIMU kushtua NDUGU wakachelewa nikasaidiwa na JAMAA YANGU WA mbali SANA hata SI kudhania YANI sinaga hata STORI NAE SANA. SIMU moja TU kwishaa
Kwishaaaa
Mimi siendi hata kwake
Mkuu huna hoja. Mnakuwa mnaongelea nini mpaka mtu anakuuliza kama unakaa mwenyewe then unamwambia upo single, ni kitu ambacho wewe mwenyewe ume taka.Wengine hatujazoea uongo