PostGE2025 Baada ya serikali kupinga maandamano haramu vijana vichwa ngumu mkaandamane UN itawsaidia kulea wake na watoto wenu

PostGE2025 Baada ya serikali kupinga maandamano haramu vijana vichwa ngumu mkaandamane UN itawsaidia kulea wake na watoto wenu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni .
Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii.
Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika.
Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na kushiriki uchaguzi ipasavyo.
Kama kuna makosa makubwa Rais amefanya bunge au majaji wamepewa Uhuru wa kufanya mchakato wa kumtoa Rais na si wahuni na vibaraka wa Ulaya .
Nyie vibaraka mkiweka pua tu tutazikata na kitakachofuata wake zenu watalia then wataliwa hovyo kwasababu ya maisha magumu huku ninyi mmeshakuwa mavumbi.
 
Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni .
Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii.
Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika.
Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na kushiriki uchaguzi ipasavyo.
Kama kuna makosa makubwa Rais amefanya bunge au majaji wamepewa Uhuru wa kufanya mchakato wa kumtoa Rais na si wahuni na vibaraka wa Ulaya .
Nyie vibaraka mkiweka pua tu tutazikata na kitakachofuata wake zenu watalia then wataliwa hovyo kwasababu ya maisha magumu huku ninyi mmeshakuwa mavumbi.
Dictator Samia Suluhu Hassan, ameuwa vijana wazalendo elfu 23 plus, amepola uchaguzi, amejisimika kuwa mtawala ,amefukia miili ya wapendwa wetu kama kuku waliokufa na kideli ,bado anateka,analawiti,anafira na anabaka, je wewe ni nani D9 usitoke ukamfurushe Dictator huyu??,hii ni sababu tosha kupambana naye kwa nguvu na Jasho hadi kumfurusha huyu fascist.
 
Mtoa uzi, unatafutwa na hawa watu

20251205_164848.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni .
Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii.
Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika.
Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na kushiriki uchaguzi ipasavyo.
Kama kuna makosa makubwa Rais amefanya bunge au majaji wamepewa Uhuru wa kufanya mchakato wa kumtoa Rais na si wahuni na vibaraka wa Ulaya .
Nyie vibaraka mkiweka pua tu tutazikata na kitakachofuata wake zenu watalia then wataliwa hovyo kwasababu ya maisha magumu huku ninyi mmeshakuwa mavumbi.
Serikali haramu inapingaje maandamano?
 
Dictator Samia Suluhu Hassan, ameuwa vijana wazalendo elfu 23 plus, amepola uchaguzi, amejisimika kuwa mtawala ,amefukia miili ya wapendwa wetu kama kuku waliokufa na kideli ,bado anateka,analawiti,anafira na anabaka, je wewe ni nani D9 usitoke ukamfurushe Dictator huyu??,hii ni sababu tosha kupambana naye kwa nguvu na Jasho hadi kumfurusha huyu fascist.
kweli sasa mmechanganyikiwa.
Huyu elfu 10, yule elfu 20, yule mia 7 , mwingine elfu moja.
which is which?
 
Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni .
Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii.
Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika.
Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na kushiriki uchaguzi ipasavyo.
Kama kuna makosa makubwa Rais amefanya bunge au majaji wamepewa Uhuru wa kufanya mchakato wa kumtoa Rais na si wahuni na vibaraka wa Ulaya .
Nyie vibaraka mkiweka pua tu tutazikata na kitakachofuata wake zenu watalia then wataliwa hovyo kwasababu ya maisha magumu huku ninyi mmeshakuwa mavumbi.
wavimba_20251205_175447_0000.png

Amani ndio nguzo ya maendeleo ya Tanzania , bila utulivu hatuwezi kujenga uchumi imara, elimu bora, afya na fursa sawa kwa wote. Uhuru tuliopewa ni wajibu wa kuendeleza misingi ya waasisi wetu kwa kuungana, kushikamana na kulinda maadili ya taifa. Tunapoadhimisha siku ya uhuru, tuitumie kama nafasi ya kuombea Tanzania yetu, kuimarisha umoja na kuendeleza uzalendo unaotujenga kuwa nguvu moja dhidi ya changamoto za kijamii, kiuchumi na kisiasa. Maombi, mshikamano na upendo kwa taifa letu ndizo baraka na kinga ya Tanzania tunayoitamani. #uhuru #tanzania #africa #independence #december
 
kweli sasa mmechanganyikiwa.
Huyu elfu 10, yule elfu 20, yule mia 7 , mwingine elfu moja.
which is which?
Tambua nia,uwezo na sababu tunayo ya kumfurusha huyu dictator madarakani, maana genge lake hawana nia,uwezo na kitu kitakacho fanya wapambane nasisi, kunakitu kijeshi munkali hawana isitoshe sisi ni wengi kuliko nyinyi ,nduli huyu atatoka madarakani, Tanzania 🇹🇿 mpya nchi yangu naiona.
 
Back
Top Bottom