Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Kumbe mabeberu wa west mnawapenda kuliko Putin. Mshauri aende kwa Kiduku au Iran
Wao wanatupenda zaidi ndio maana hawajaacha kuwataja taja China na Russia kwenye huo muswada wao.

Inaelekea inawauma sana kutuona tuna mahusiano mazuri na mahasimu wao.
 
Kama anakwepa ziara za kenya huko marekani hatasubutu kupeleka pua lake
 
Back
Top Bottom