Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Afanye mdahalo live na D. Trump wamualike na E.Musk
Umeona mbali sana mkuu;

Tanzania tuna kila aina ya vyanzo vya uwekezaji.

Marekani wanapenda tuwe nao karibu

Ulichokipendekeza ni kizuri mno.
 
AOMBE! ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.😂😂😂

Atapata aibu, watanzania waishio Marekani wanaopinga mauaji yake, lazima wataandamana na jumbe mbalimbali kwenye mitaa atayokuwepo. Marekani ni Marekani.
Kingine ni kwamba; hawezi kwenda Marekani kipindi ambacho bunge lipo kwenye muswada dhidi ya utawala wake wa kiimla.
 
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.

Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.

Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.

Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
Makubwa tena haya
 
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.

Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.

Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.

Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
USA wana file lake la mauaji ya Oct 29, 2025.
MAGA hawapendi wauaji
 
Atapata aibu, watanzania waishio Marekani wanaopinga mauaji yake, lazima wataandamana na jumbe mbalimbali kwenye mitaa atayokuwepo. Marekani ni Marekani.
Kingine ni kwamba; hawezi kwenda Marekani kipindi ambacho bunge lipo kwenye muswada dhidi ya utawala wake wa kiimla.
Kwa kawaida diaspora wa mange wakijikusanya hawafiki hata kumi.
 
Back
Top Bottom