jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,067
- 8,595
- Thread starter
- #101
Mkuu kwenye haya. Maisha kwa mwanaume hakuna mateso mabaya kama kuwa fukara yaani ufukara mbaya sana, unanuka zaidi ya mzoga, sijui upande wa hawa dada zetuDadeki mateso yote hayo kama vile mwizi
Sent using Jamii Forums mobile app