Nguvu za giza na mizimu ya ukoo

Benil

Member
Nov 8, 2023
42
102
Habari wana JF, mimi ni new member ningependa mnikaribishe katika Jukwaa letu.

Mimi Ni kijana wa miaka 30’s, kwa mda wa miaka 3 nimekua nikisumbuliwa na Nguvu za giza na Mizimu ya ukoo ambayo imepelekea kuharibu dira ya maisha yangu, nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka, dalili za homa ya Presha.

Nilihangaika sana ikiwemo kwenda kwa waganga wa kienyeji, nikawa napata nafuu lakini baada ya mda hali inarudi palepale, nikajaribu na makanisani ikawa ni vita kali, nako nikawa napata nafuu ila hali inarudi pale pale ikiwa kuhisi mwili unaumwa, kuchoka, macho kuhisi yana kiza na Moyo kuuma sana.

Nilihangaika pia na maombi binafsi ya kujiombea mimi mwenyewe pamoja na watumishi wa Mungu, nikafanikiwa kupunguza hii hali kwa kiasi chake nikapata nafuu.

Kuja kwenu wanaJF ninaomba ushauri kwa sababu nimefungwa upande wa uchumi, akili yangu imefungwa.

Inafika hatua ya kukata tamaa na kuona kila kitu hakiendi na pia kila ninapopata ishu ya kazi au dili lolote hua inafika sehemu mambo yanaharibika, nimekua na roho ya kukataliwa, kila ninapoenda ninadharauliwa na kubezwa, nilishaenda sehemu nikahisiwa mimi ni Mwizi, kiukweli ni kama nina mikosi au gundu.

Siku Moja niliwasiliana na ndugu wa baba ambao wao ni wasukuma, wakaniambia hio kawaida kuna mizimu inabidi kwenda kutambika kwa sababu ukoo wetu tangu enzi ni wa mambo hayo ya kimizimu.

Nipo kwenye dilema nikubaliane na mambo ya kutambika au niendelee huku niliko upande wa Makanisa, japo kiukweli napata vita kubwa kila napopigana na hizi nguvu makanisani.

WanaJF kiukweli nimefika hatua nachanganyikiwa, kila kitu hakiko sawa, nakosa kujiamini kwa kila jambo nalotaka kufanya, ninaomba ushauri wenu na mawazo yenu.

Najua Jukwaa hili lina watu wenye maarifa na maono. Nitashukuru sana

Cc MshanaJR
 
Habari wana JF, mimi ni new member ningependa mnikaribishe katika Jukwaa letu. Mimi Ni kijana wa miaka 30’s, kwa mda wa miaka 3 nimekua nikisumbuliwa na Nguvu za giza na Mizimu ya ukoo ambayo imepelekea kuharibu dira ya maisha yangu, nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka, dalili za homa ya Presha. Nilihangaika sana ikiwemo kwenda kwa waganga wa kienyeji, nikawa napata nafuu lakini baada ya mda hali inarudi palepale, nikajaribu na makanisani ikawa ni vita kali, nako nikawa napata nafuu ila hali inarudi pale pale ikiwa kuhisi mwili unaumwa, kuchoka, macho kuhisi yana kiza na Moyo kuuma sana. Nilihangaika pia na maombi binafsi ya kujiombea mimi mwenyewe pamoja na watumishi wa Mungu, nikafanikiwa kupunguza hii hali kwa kiasi chake nikapata nafuu.
Kuja kwenu wanaJF ninaomba ushauri kwa sababu nimefungwa upande wa uchumi, akili yangu imefungwa. inafika hatua ya kukata tamaa na kuona kila kitu hakiendi na pia kila ninapopata ishu ya kazi au dili lolote hua inafika sehemu mambo yanaharibika, nimekua na roho ya kukataliwa, kila ninapoenda ninadharauliwa na kubezwa, nilishaenda sehemu nikahisiwa mimi ni Mwizi, kiukweli ni kama nina mikosi au gundu. Siku Moja niliwasiliana na ndugu wa baba ambao wao ni wasukuma, wakaniambia hio kawaida kuna mizimu inabidi kwenda kutambika kwa sababu ukoo wetu tangu enzi ni wa mambo hayo ya kimizimu. Nipo kwenye dilema nikubaliane na mambo ya kutambika au niendelee huku niliko upande wa Makanisa, japo kiukweli napata vita kubwa kila napopigana na hizi nguvu makanisani. WanaJF kiukweli nimefika hatua nachanganyikiwa, kila kitu hakiko sawa, nakosa kujiamini kwa kila jambo nalotaka kufanya, ninaomba ushauri wenu na mawazo yenu. Najua Jukwaa hili lina watu wenye maarifa na maono. Nitashukuru sana

Cc MshanaJR
Imefikia hatua mpaka sasa sijapata mtoto na Baba zangu waliniambia kua nikifanya masihara hata kizazi kinafungwa na sitakua na amani katika mji wangu.

NB: wazazi wangu wote wawili walifariki
 
Trust me ukijua tu umefungwa tayari ulishafunguliwa...waliofungwa hawaoni na wala hawaelewi wanaoona kawaida tu ila wanaowazunguka ndiyo watakuambia. Fanya hivi; badili unavyofikiri kwanza, usiishi jana (Kwa kuwaza hali uliyoipitia) ishi leo.
 
ukienda kwenye mizimu ,hata watoto wako watakuwa na the same path ,mtakufa vifo vinafanana au mtawwza kuishi maisha ya ufukara au utajiri wenye mateso,au ulemavu au magonjwa ya akili,kuachika,kutokufanikiwaku,.kimsingi unataka kujifanya kuwa mateka wa kuzimu Kwa kutaka kufanya matambiko.Muzimu kanisani Huwa inaondoka pasipo kuwa na mashaka lakini mchakato wake hi lazima uwe committed na Mungu na usiwe na michanganyo na dhambi na ukubali kweli kuokoka Kwa dhati na kuacha uovu.kuendelea kwenda Kwa waganga na mizimu ni kujilaani,biblia inasema wazi kuhusu Hilo.Swala la kwenda kuombewa pasipo kukata shauri na kuamua kuokoka haliwezi kukusaidia sana ,pindi ukiamua kuokoa katika makanisa sahihi(siyo makanisa yote yanafundisha kweli),utafunguliwa na Kila kitu kitaenda sawa
 
Habari wana JF, mimi ni new member ningependa mnikaribishe katika Jukwaa letu.

Mimi Ni kijana wa miaka 30’s, kwa mda wa miaka 3 nimekua nikisumbuliwa na Nguvu za giza na Mizimu ya ukoo ambayo imepelekea kuharibu dira ya maisha yangu, nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka, dalili za homa ya Presha.

Nilihangaika sana ikiwemo kwenda kwa waganga wa kienyeji, nikawa napata nafuu lakini baada ya mda hali inarudi palepale, nikajaribu na makanisani ikawa ni vita kali, nako nikawa napata nafuu ila hali inarudi pale pale ikiwa kuhisi mwili unaumwa, kuchoka, macho kuhisi yana kiza na Moyo kuuma sana.

Nilihangaika pia na maombi binafsi ya kujiombea mimi mwenyewe pamoja na watumishi wa Mungu, nikafanikiwa kupunguza hii hali kwa kiasi chake nikapata nafuu.

Kuja kwenu wanaJF ninaomba ushauri kwa sababu nimefungwa upande wa uchumi, akili yangu imefungwa.

Inafika hatua ya kukata tamaa na kuona kila kitu hakiendi na pia kila ninapopata ishu ya kazi au dili lolote hua inafika sehemu mambo yanaharibika, nimekua na roho ya kukataliwa, kila ninapoenda ninadharauliwa na kubezwa, nilishaenda sehemu nikahisiwa mimi ni Mwizi, kiukweli ni kama nina mikosi au gundu.

Siku Moja niliwasiliana na ndugu wa baba ambao wao ni wasukuma, wakaniambia hio kawaida kuna mizimu inabidi kwenda kutambika kwa sababu ukoo wetu tangu enzi ni wa mambo hayo ya kimizimu.

Nipo kwenye dilema nikubaliane na mambo ya kutambika au niendelee huku niliko upande wa Makanisa, japo kiukweli napata vita kubwa kila napopigana na hizi nguvu makanisani.

WanaJF kiukweli nimefika hatua nachanganyikiwa, kila kitu hakiko sawa, nakosa kujiamini kwa kila jambo nalotaka kufanya, ninaomba ushauri wenu na mawazo yenu.

Najua Jukwaa hili lina watu wenye maarifa na maono. Nitashukuru sana

Cc MshanaJR
Nani amekwambia kwamba unasumbuliwa na mizimu.ya ukoo?
Ondoa hayo mawazo ishi kawaida. Kama ni mkristu nenda church kawaida. Usilogwe ukaenda kwa manabii feki maana watazidi kukuchanganya akili ambayo tayari imeshaharibika na mawazo ya ajabu ajabu.
 
ukishajilisha upande huo ni ngumu kutoka..hospital umewahi kwenda? sijaona changamoto hadi ya kusema yote hayo.
kataa kwanza hizo.ishu...kuwapostive
Ndio nimeshakwenda na kupitia maombi na hospitali nimepata nafuu. Kweli huu upande ukishaingia kutoka ni ngumu na unaathiri vizazi vyako vya baadae na ukiamua kupigana navyo basi inabidi kusimama kweli kweli mana vita yake ni kubwa
 
Nani amekwambia kwamba unasumbuliwa na mizimu.ya ukoo?
Ondoa hayo mawazo ishi kawaida. Kama ni mkristu nenda church kawaida. Usilogwe ukaenda kwa manabii feki maana watazidi kukuchanganya akili ambayo tayari imeshaharibika na mawazo ya ajabu ajabu.
Asante kwa ushauri.. ni kweli kupambana na hizi roho inabidi upate kanisa sahihi lenye ile kweli ya Mungu. Ukienda kwa Manabii feki ni sawa umeenda kwa Waganga wa kienyeji na utazidi kuchanganyikiwa, nishaexperience Manabii feki
 
Nani amekwambia kwamba unasumbuliwa na mizimu.ya ukoo?
Ondoa hayo mawazo ishi kawaida. Kama ni mkristu nenda church kawaida. Usilogwe ukaenda kwa manabii feki maana watazidi kukuchanganya akili ambayo tayari imeshaharibika na mawazo ya ajabu ajabu.
Nilipokua mwanzo nahanagika upande wa Giza niliambiwa nasumbuliwa na hizo roho na wazee nyumba waliniambia hivyo hivyo
 
Asante kwa ushauri.. ni kweli kupambana na hizi roho inabidi upate kanisa sahihi lenye ile kweli ya Mungu. Ukienda kwa Manabii feki ni sawa umeenda kwa Waganga wa kienyeji na utazidi kuchanganyikiwa, nishaexperience Manabii feki
Nani amekwambia unazo hizo roho?
Homa za ajabu zinazokusumbua zipoje? Hospitali wameshindwa kutibu hizo homa na magonjwa mengine?
 
Nilipokua mwanzo nahanagika upande wa Giza niliambiwa nasumbuliwa na hizo roho na wazee nyumba waliniambia hivyo hivyo
Wewe ulitagemea mganga wa kienyeji akwambie unaumwa malaria?
Hizo roho ni wewe mwenyewe unazitafuta kwa kuhangaika kwenda huko kwa waganga na kwa wachungaji wa mchongo.

Tatizo lipo kwenye mind yako. Husumbuliwi na chohote.
 
Sawa Mkuu nitafanya hivyo, nitakuPM. Nashukuru sana🙏
Inaonyesha kama vile unafurahia hiyo hali uliyo nayo. Hebu anza kwanza kwa kubadili username yako. Hafafu uwe positive sio kujiwazia mabaya muda wote.

Screenshot_20231204-074913_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom