stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,385
- 3,494
Aise; umeeleza vizuri sana but mwishoni ndio ulipo haribu; hivi ni kwanini kila anae pingana na nyie hua mnadhani ni mwana cha wa chama fulani? Aliyetangaza ubilionea wa Laizer ni BOT na wizara kwa pamoja, wewe mkereketwa hukuwahi kukosoa hilo hadi Mbowe kutajwa? Is like nyie hua mnachuki binafsi na baadhi ya watu wakati sisi wengine ambao hatumiliki kadi ya chama chochote tuko very free, tunaweza kumkosoa yoyote na kumuunga mkono pia yeyote; angalini nyie mlivyo poteana baada ya mhe Magufuli kuitwa mbele za haki; hamuelewi muunge mkno misimamo mipya au mmpinge kama sisi. Tumieni akili zenu kufikiri badala ya kufikiria kwa kutumia CHOMBO au chama.
laizer alitangazwa kama bilionea wa tsh, na hata alipiga picha na cheque yenye billion za tsh hio halikua na tatizo ndo maaana nmeanza kwa kuuliza je ni bilionea wa tsh ili story zisiwe nyingi, because unapomuweka dewji kwenye same bilionea list na mbowe inakua haijabalance!
- naheshimu pia mawazo ya nyie ambao hamna chama hio kauli ya mwisho nmeiweka kiutani tu mkuu wala usiwe personal maana siasa zenyewe zmehamia online saaahv bila vitendo