MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Wewe huna hela, tulia!ningekua sina hela ningekua saaahv nampamba mwenyekiti wa milele wa chadema aniangalie kwenye cheo ufipa
Wewe huna hela, tulia!ningekua sina hela ningekua saaahv nampamba mwenyekiti wa milele wa chadema aniangalie kwenye cheo ufipa
Wewe huna hela, tulia!
Unadhani ni mwenyekiti wa wanyonge yule!mwenyekiti wenu hela hana
Unadhani ni mwenyekiti wa wanyonge yule!
Hahahaa!dahbasi utakuwa mkazi wa Kongwa
Kibajaji na Musukuma.Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Askofu Rashidi Gwajima bhanaHivi Gwajima yule anayefufuaga wafu hawezi kuwa bilionea?
Maana nasikiaga eti sadaka za pale kwa ibada moja tu ni magunia ya hela bado makanisa yake mikoani na uuzwaji wa vitabu vyake pia au hizo hela anazipelekaga mbinguni?
Hakuna mnyonge anaweza kufanya hivyo!yeye mwenyewe mnyonge , muulize lowasa alivomfanya myonge na hizo hela zake mnazomteteawa
Hakuna mnyonge anaweza kufanya hivyo!
Mkuu, hivi sekta ya ruzuku za chama na makato ya wabunge wa chama chake hazitoshi kumwingizia mapato ya kumfanya kuwa bilionea?Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Usijichekeshe wewe, sitegemei mnyonge kama wewe uwaze vingine, zaidi ya kuwa na wivu na roho mbaya.yaaani mngejua mbowe mwenyewe ni opportunitistic, ingawa ni vyama karibia vyote vya upinzani ila mbowe amezidi, amefika stage kuuza chadema kisa pesa za lowasa na apa tunaambiwa ni billionea saasa mnatuchanganya sasa. juzi kapewa tax report mil 58 kahamia dubai , hyu ndo bilionea wenu? 😂
Usijichekeshe wewe, sitegemei mnyonge kama wewe uwaze vingine, zaidi ya kuwa na wivu na roho mbaya.
Hatuna njaa wewe, tunashangaa nyie ndio mnapiga kelele!sasa wivu natoa wap? kwan mm ndo nliuza chama chenu? mpigieni kelele uyo billionea wenu ambae ameletewa kodi mil 50 akakimbia
Wivu kidonda mkuuKwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Wivu kidonda mkuu
Naona bado unaendelea kumwabudu mwendazake,toa kivuli cha mwendazake hapo kwenye profile picningekua sina hela ningekua saaahv nampamba mwenyekiti wa milele wa chadema aniangalie kwenye cheo ufipa
Naona bado unaendelea kumwabudu mwendazake,toa kivuli cha mwendazake hapo kwenye profile pic
Mataga bado hamuamini mume wenu amekwendavp unaumia kumwona?
Mataga bado hamuamini mume wenu amekwenda