Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,465
- 45,756
Usishangae, ni kujaribu kila kitu
Natamani mtu afungue juice za hivyo
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Usishangae, ni kujaribu kila kitu
Safi sana wowNitajaribu huwa ninatengeneza carrot na cucumber ninachanganya na apple juice asubuhi
Unakunywa maziwa ya ng'ombe na ndama anywe nini? Kila mtu anywe maziwa yake.Yaan wewe kichwa chako unakielewa mwenyewe
Omba aliyezaa akupe unyonye.Bado sijazaa mkuu
Tunagawana na ndamaUnakunywa maziwa ya ng'ombe na ndama anywe nini? Kila mtu anywe maziwa yake.
Mama yangu hayupo.Omba aliyezaa akupe unyonye.
Pole, uwe unakuja nakupa maziwa.Mama yangu hayupo.
Hahahahahaha sasa wewe unayatoa wapi mkuu na wakati huna?Pole, uwe unakuja nakupa maziwa.
Wewe bado mdogo kumbe, kila mwanaume ana maziwa.Hahahahahaha sasa wewe unayatoa wapi mkuu na wakati huna?
Mh unapenda kuiga. Yote hii ili upate utelezi.Dada Sky Eclat naomba kuelekewa namna ya kutengeneza hiyo juice ya bamia na je, inachujika?
Yaan kama ndo hayoWewe bado mdogo kumbe, kila mwanaume ana maziwa.
Sipendi kuiga, napenda kujifunzaMh unapenda kuiga. Yote hii ili upate utelezi.
Dawa ya nini wakati tunazo na mnazikataa.Sipendi kuiga, napenda kujifunza
Halafu bamia ni dawa mkuu
Bamia zinatibu vitu Vingi..Dawa ya nini wakati tunazo na mnazikataa.