Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo za kwenu hazifai kwa matumizi pambaneni nazo wenyewe.Dawa ya nini wakati tunazo na mnazikataa.
Huu ndiyo ulevi wangu, majuzi kuna mtu ananimbia eti siyo nzuri kwa afya.
Utafanya jambo jema.Bamia zinatibu vitu Vingi..
Ngoja nitajitahidi nije na uzi siku moja
Napendelea Juisi ya Ukwaju na Maji Lita 1 baridi.Mara tu baada ya kupata/Kula chakula chako Lunch au dinner unapendelea kushushia na kinywaji gani?
Binafsi napendelea kuywa Pepsi au Coke ya Baridi kabisaa.
CC Zero IQ
K VANT......Mara tu baada ya kupata/Kula chakula chako Lunch au dinner unapendelea kushushia na kinywaji gani?
Binafsi napendelea kuywa Pepsi au Coke ya Baridi kabisaa.
CC Zero IQ
BjJuice ya bamia
Mara tu baada ya kupata/Kula chakula chako Lunch au dinner unapendelea kushushia na kinywaji gani?
Hahahahahahaaaaa!Nakuangalia kwa umakini sana.Juice ya bamia
Nkusikitikia sana kama ni haya matikiti maji ambayo hayana msimu zaidi ya kuchomwa sindano sana ili yakue haraka/yenye mistaristari meeupe(artificial # natural watermelon/ganda lake ni kijani tupu kwa nnje)