Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
UTI sina, Kisukari sina, (majibu ya vipimo mara kwa mara)
Kwa nini napokunywa kinywaji maji au juice kidogo tu napata haja kali ya kukojoa, na kuvumilia inakuwa ngumu na changamoto zaidi. Pia sitaenda mara moja, bali mara mbili au tatu baada ya muda.
Tatizo ni nini, nisaidie
Kwa nini napokunywa kinywaji maji au juice kidogo tu napata haja kali ya kukojoa, na kuvumilia inakuwa ngumu na changamoto zaidi. Pia sitaenda mara moja, bali mara mbili au tatu baada ya muda.
Tatizo ni nini, nisaidie