The Magnifico
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 427
- 1,579
Wanaume tumepitia magumu, hapo kanataka tu tuishi kwa misingi ya sheria za kifeminist..Nimecheka kwa nguvu š¤£
Wanaume tumepitia magumu, hapo kanataka tu tuishi kwa misingi ya sheria za kifeminist..Nimecheka kwa nguvu š¤£
Kwangu ilikuwa mshituko wa kuona bajeti imekuwa kubwa, lakini muda mfupi baadaye nilikubali tu kuwa maisha yamebadilika.Ilikuwa ni vita ya kimya kimya kichwani mwangu,wife hakuwahi kujua.Mimi sikuwahi kula peke yangu nje ya nyumbaniIlikuwa inaniuma sana aisee kuna muda nilikuwa sirudi nyumbani nakula huko huko kazini ili tu asile jasho langu ,kumbe na wewe yalikukuta mshikaji wangu ?
Nimepanga wiki hii nikutafutie ban.Noma sana
Ngoja nisome maonišš
Tulia hapo hapo šNgoja nisome maonišš
EwaaaaaaaaahhhTulia hapo hapo š
Mimba yako ina tabia za ajabu Sana, pole sana.Nimepanga wiki hii nikutafutie ban.
Nakupa taarifa, sikuvizii.
AsanteMimba yako ina tabia za ajabu Sana, pole sana.
Uhakika!šš¤
Uhakika...Uhakika!šš¤
Sio ajabu hata kidogo, na sababu kubwa ni yale mabadiliko ni ya ghafla japo tuliyajua kabla.Inashangaza wanaume wengi wapo too much concerned with rising expenditure baada ya ndoa. Nadhani inawezekana hiyo ikawa ni sababu ya ndoa nyingi kuvunjika.
Mimi sikuwahi kuwaza kabisa kuhusu matumizi. Japo yaliongezeka sana kwasababu wife hakuwa na kazi. So, haikunisumbua akili kabisa. Goal yangu ilikuwa ni kumlisha chochote anachotaka yeye na mtoto.
fresh kabisa mpaka najiuliza nilichelewa wapiUsijali huu uzi nitaufuta we nambie tu ulivyooa maisha yaliendeleaje? Huenda ukaniponya mwanangu, ilikuaje baada ya hapo, nasubiri comment yako!
Maisha yalikuja na Sura mbili, maisha magumu sana, kukosa hela Kabisa na msoto Makali wa muda mrefu, ila alivumilia sana na mimi.Usijali huu uzi nitaufuta we nambie tu ulivyooa maisha yaliendeleaje? Huenda ukaniponya mwanangu, ilikuaje baada ya hapo, nasubiri comment yako!
š kuswampa hili neno sijalisikia muda mrefu sanaNilipigika kiasi kwamba kula ikawa stress, kuvaa stress na mwisho nikafirisika nikakimbia kwangu nikaenda kuwa kibarua wa rafiki yangu ambae nilikuwa namzidi mtaji, madeni yaliniandama yaani miaka 2 natafuta japo nimiliki smartphone ya Vodafone ilikuwa inauzwa 60k wakati huo na sikuweza afford kwa miaka 2. Mshikaji wangu mmoja akanipa code kwamba nivumilie mambo yataanza kukaa sawa after 3 to 4 yrs, basi nikakaza mambo yalianza kurudi sawa mwaka wa 4. Mpaka nilihisi nimerogwa kumbe ile huwa ni hali ya kawaida hasa kama wewe mwenyewe au mwenza wako mnatokea kaya maskini hamna sapoti yoyote basi mjiandae kuswampa
walahi vile, watu mnarohi mbayaš¤£š¤£š¤£. Asa ulitaka ale wapi mkuuIlikuwa inaniuma sana aisee kuna muda nilikuwa sirudi nyumbani nakula huko huko kazini ili tu asile jasho langu ,kumbe na wewe yalikukuta mshikaji wangu ?