Baada ya kuoa, maisha yaliendeleaje mwanangu?

Baada ya kuoa, maisha yaliendeleaje mwanangu?

Ya ghafla kama mke umeamka ukamkuta ndani?
Unadhani kama mtu hajazoea kununua chakula in bulk, kupika home, kuacha kodi ya mezani...kesho akiamka anaanza na huo mchakato, anazoea tu...its a shock mama, lazima akili izoeshwe!!!
 
Unadhani kama mtu hajazoea kununua chakula in bulk, kupika home, kuacha kodi ya mezani...kesho akiamka anaanza na huo mchakato, anazoea tu...its a shock mama, lazima akili izoeshwe!!!
Duhh poleni wanaume mnapitia mengi😱
 
Mimi tangu nimeoa sijawai ku save ata pesa laki 2 sijawai mambo ni mengi Sana, Saa nyingine natamani nimtelekeze sema dah ana mtoto wangu na amenizoea balaa ananipa moyo WA kutafuta ili nielendele kuishi nao lakini show Kali Sana Bora kuishi mwenyewe
 
Mimi tangu nimeoa sijawai ku save ata pesa laki 2 sijawai mambo ni mengi Sana, Saa nyingine natamani nimtelekeze sema dah ana mtoto wangu na amenizoea balaa ananipa moyo WA kutafuta ili nielendele kuishi nao lakini show Kali Sana Bora kuishi mwenyewe

Jitahidi kusave mzee,
kuna energencies nyingi kwenye Familia
 
Mimi tangu nimeoa sijawai ku save ata pesa laki 2 sijawai mambo ni mengi Sana, Saa nyingine natamani nimtelekeze sema dah ana mtoto wangu na amenizoea balaa ananipa moyo WA kutafuta ili nielendele kuishi nao lakini show Kali Sana Bora kuishi mwenyewe
Tozi umesanda
 
Ilinichukua muda sana kukubali kuwa wali ,nyama na vingine ninavyoleta na yeye atakula hivyo hivyo bila kuchangia chochote ,roho ilikuwa inauma sana kiasi kuwa nilijipa muda kuiondoa hiyo roho ya uchoyo kichwani mwangu na moyoni ila ilinitesa .

Ila walisema usiodharau instinct yako ni bora ningemnyima hiyo misosi yangu maana badaye kiliniacha aisee

Kataa ndoa stand up 💪
Dah we jamaa ni waki sana 😂 😂
 
Kaka wewe acha tu .
Vipi bado uko na mwanamke ndani ?
Mimi alishaondoka ila naishi kwa raha sana ,nakula chakula pekee yangu ,nguo najinunulia mimi ila zaidi nikienda bar naweza nirudi au nisirudi na hakuna wa kuniuliza zaidi ya kuwaonea huruma mbwa wangu kulala bila kula ,vipi wewe ?
Mim aliondoka ila najikuta nammiss,na kilichopelekea zaid kummis ni chakula chake kizur na huduma zake zingine ambazo alikuwa ananipa

Ila nina uhuru wa kutosha kwasasa maana ugomvi wetu mkubwa sana ilikuwa kunifatilia fatilia nikichelewa kurudi kesi mara kupigana

Ila sahv naishi kama ndege wa porini
 
Mim aliondoka ila najikuta nammiss,na kilichopelekea zaid kummis ni chakula chake kizur na huduma zake zingine ambazo alikuwa ananipa

Ila nina uhuru wa kutosha kwasasa maana ugomvi wetu mkubwa sana ilikuwa kunifatilia fatilia nikichelewa kurudi kesi mara kupigana

Ila sahv naishi kama ndege wa porini
Kwahiyo utaoa tena jamaa yangu ?
Mimi mwenzako siwezi kuoa tena nishaharibikiwa sana ,sasa hivi sidhani kama kuna dada wa kunikubali maana sina mbele wala nyuma kaka ,hivi nipo mbeya pazuri hapa nakunywa tuhela twa rushwa twa leo kazini ,nikimalizq niwashe kacorolla kangu nirudi nikalale kama mwichi maana sina wa kulala naye kaka
 
Back
Top Bottom