The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,159
- 51,091
Lakini unamfuatilia na kusoma post zake zote!Genta haujawahi post cha maana.
Lakini unamfuatilia na kusoma post zake zote!Genta haujawahi post cha maana.
Usitukane watu kienyeji hivyo! Kati yako na hao unaowaita wajinga mjinga halisi mbona anajurikana tu!?Ungekuwa mfuatiliaji wa posts zangu tangu zama hizo ungeifahamu phrase niliyokuwa naitumia mara kwa mara kwamba "Mtaji Mkubwa wa Magu ni Jeshi Kubwa la Wajinga Lililo Nyuma Yake"! Mwisho wa kunukuu, na sina maelezo zaidi...
Jibu posts yangu... ujinga sio tusi!Usitukane watu kienyeji hivyo! Kati yako na hao unaowaita wajinga mjinga halisi mbona anajurikana tu!?
Mabeberu yamewafix hawa maccm.Mbona hii chanjo mnaipromote sana kuna AGENDA gani?
Niseme eneo la kupambanaCorona Mama Samia Hayuko sisi tuli ji lock down kwa kujifukizia no tukanusurika yeye mama Samia hakuwahi kuvaa barakoa kipindi Cha Magufuli kuanzia kuaga maiti Hadi misafara Hadi mazishi mbona hakufa kwa corona?Yehodaya za siku ?!!
Kumbe ninyi watu hamkuwa CCM....
Ninyi watu mlikuwa tu "CCM UPEPO" kwa ajili ya kipenzi chetu Hayati Magufuli.....
Aliondoka baba wa taifa akaiacha CCM....kwa hiyo tuanze kushambulia viongozi wa CHAMA simply kwa kuwa aliyekuwepo HATUMTAKI/HATUMPENDI/TUNAMCHUKIA?!!!
Hivi ninyi kweli MLIPITIA MADARASA YA ITIKADI YA CHAMA?!!!
Pamoja na kukinzana hoja sijapatapo kumuona mwanaCCM akimshambulia mwenyekiti kiasi hiki?!!!!
#SiempreCCM
#KaziIendelee
Tatizo ni lile lile, sio msomaji wangu! Nakupa changamoto ingia Google kisha search "The world is full of average people and even more below the average + jamiiforums"Mbona sasa hatuoni walau watu mamilioni wenye elimu zenu mkifurika huko kwenda kupata chanjo?
Nlitegemea hizo milioni 1 zilizokuja ziishe fasta kwa kugombaniwa!
Ina maana katika watu milioni 60 hapa tz wote ni wajinga? Yani hatuna watu welevu walau milioni 1 wakamalize chap hizo chanjo? Wote ni wajinga wafuasi wa Magu?
Kwa hiyo mwenda zake ana wafuasi wengi sana kwa mimilioni hapa tz tofauti na mlivyokuwa mnasema kwamba anachukiwa sana?Tatizo ni lile lile, sio msomaji wangu! Nakupa changamoto ingia Google kisha search "The world is full of average people and even more below the average + jamiiforums"
Ukifanya hivyo, utaona hiyo nukuu imekuwa ikitolewa na nani, na hapo ndipo utakapopata jibu la swali lako!!!
That's one but two, ni silika tu ya Watanzania!! Even smarter people am very sure hawajaenda!!! Si kwamba they don't believe in the vaccines lakini Wabongo tuna dasturi ya kusubiria jambo hadi siku za mwisho!!!
Hivi huyu si ndio baba yake aliwahi kuwa blacklisted na JK Nyerere(may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏), kwa kubainika kuingia deal la kihuni na waarabu! Naona hizi zipo kwenye vina7! Wenye moyo wa kumwamini mwaminini...nachofahamu, haiwezekani kwa sasa kujua madhara ya muda mrefu ya hivi vijanjo uchara vyenu!Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Peleka huko assumptions zako hatununui hizi!Tatizo ni lile lile, sio msomaji wangu! Nakupa changamoto ingia Google kisha search "The world is full of average people and even more below the average + jamiiforums"
Ukifanya hivyo, utaona hiyo nukuu imekuwa ikitolewa na nani, na hapo ndipo utakapopata jibu la swali lako!!!
That's one but two, ni silika tu ya Watanzania!! Even smarter people am very sure hawajaenda!!! Si kwamba they don't believe in the vaccines lakini Wabongo tuna dasturi ya kusubiria jambo hadi siku za mwisho!!!
Dk Mwele Malechela ndie huyo huyo Tapeli wa kusema Tanzania kuna Zika Marehemu Magufuli alimkimbiza kama Mbwa akakimbilia WHO .Panya ukitaka kujua katokea wapi mkimbize shimo atakaloingia ndio waliomtuma atapeli kupitia ugonjwa hewa wa Zika!!Huyu sio yule wa Zika,yule wa zika ni Mwelle (Mwene?)
**** ya mama yako ndio takataka.Wewe masikini huna lolote Nani atake kukuua takataka Kama wewe
Huyu Seche Malecela kwa makusudi kabisa ameamua kupotosha. Kwa makusudi ameamua kutokuongelea hoja za msingi na kujikita zaici kutetea kwa nini chanjo ya corona imepatikana haraka!!Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
You appropriately nailed it . Bravo!!!Kasemaje??
Kama ni mtaalamu na IQ kubwa si atengeneze chanjo yeye mwenyewe!
KUmbe wakati mwingine nawe huwa TAHIRA nikajua mchambuzi KUmbe mwanamajungu mkubwaKuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.
Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.
Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.
Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
BladifakenWengine tunamchukulia kuwa ni kibaraka wa mabeberu tu. Zika iliishia wapi?
Mkuu, Mama hapaswi kutishwa bali kumshauri. Kumuwekea masharti kuwa "akifanya hivi ajiandae kwa hili" si maneno sahihi kwa Mama yetu. Ninajua grievances ulizonazo lakini hizo zisikutoe kwenye reli.Magufuli alikuwa na akili nyingi mno mno akasema jifukizieni kuleni malimaoy nk akijua ulaya na mareki wataponda!!! Lakini ilikuwa secret Lockdown iliyoshangiliwa na Kila mtu kuwa kweli hatuumwi coroy or whatever huyu Mama Samia kaja na Mulamula wake wametibua Kila kitu ohh Tanzania sio Kijiji tutumie Chanjo za wazungu!!!
Magufuli alikuwa na ushawushi wa Lockdown wa kiakili sana ila hasemi ni Lockdown anasema tu simple chanjo msikubali za wazungu kumbe anajua wazungu hawatakubali na mtu hatasafiri
Mama samia na Mulamula wake katibua.Sasa akiweka watu lock down ajiandae vurumai !!!