#COVID19 Baada ya Kumsikiliza na Kumuelewa vyema Dk. Seche Malecela, Kesho najipeleka mwenyewe Kupata Chanjo yangu ya UVIKO 19 niwe salama zaidi

The problem, mengi ya hayo uliyotaja kama sio yote yanaenezwa na hao hao watu aina ya Askofu Rashid!!

Tatizo kubwa la Tanzania ni moja....

Kwa bahati mbaya sana aliyekuwa Rais wa nchi alikuwa anatia kasoro kila kinachoongelewa na watalaamu kuhusu corona!!

Kutokana na hilo, viongozi walio chini yake karibu wote wakawa wanalazimika kuimba tune ya Mwenye Bendi,

Wafuasi wake ambao ni wengi kabisa wakalazimika kuimba tone ya mwenye band!!!

Tatizo la sasa sio tena kwa viongozi kwa sababu viongozi wamepata mkuu mpya na hivyo wanalazimika kuimba tone ya mkuu mpya!!!

Wale wafuasi KATU hawawezi kukubali kirahisi kubadili tone ya yule waliyekuwa wanamuunga mkono kwa jasho na damu kwa sababu, kufanya hivyo itakuwa ni kama wanamkosoa kwamba hakuwa sahihi!!

Hawa, sio kwenye chanjo tu, ni kama wameapa kulinda na kutukuza misimamo yote ya Mwendazake!!!

Hata hapa ukifuatilia, asilimia kubwa ya wapinzani wa haya hii ni Wafuasi Kindakindaki wa Mwendazake!!!

Hata huyo Gwajima, I doubt kama angekuwa na msimamo huu lau kama Mwendazake angekuwa na mtazamo tofauti!!
Hili siyo swala jepesi la kufuata mkumbo wa Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)
Hili ni suala la kutumia logic! Kasoro alizoziibua zilikuwa za kisayansi, na wanasayansi wote wenye utimamu wa akili walimuelewa! Hata argument za Gwajima pia ni za kisayansi, na wanadayansi kwa bahati mbaya kwa sasa hawana majibu ya uhakika kwa kuwa walikiuka taratibu za kisayansi ambazo ndizo zingetoa majibu ya hoja za Gwajima!
Ww unayemeza kila kitu unachoambiwa unayo hatari kubwa ktk dunia ya sasa!
Namuunga mkono Gwajima ktk hili sidanganyiki!
 
View attachment 1875470unang'ela panga'ng'a huku UKIMEZA "KUNDE"....

Nazo pia zinatoka kwa "mabeberu"....

Anyway ,Leo unamkataa J&J ,ila umesahau kuwa ndio ALIOKUFANYA USITOKE VIPELE VYA JOTO wakati wa uchanga na utoto wako....nawe unaendeleza kwa VITOTO VYAKO....

"Powder ya baby Johnson"....

#TujitokeziKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Mkuu unazungumziaje JJ kushtakiwa na baadhi ya Wamarekani kwa sababu kuna bidhaa flani ziliwaletea kansa wateja wao. Mpaka sasa kesi za aina hiyo zimeshawagharimu zaidi ya Usd2 billion
 
Mkuu unazungumziaje JJ kushtakiwa na baadhi ya Wamarekani kwa sababu kuna bidhaa flani ziliwaletea kansa wateja wao. Mpaka sasa kesi za aina hiyo zimeshawagharimu zaidi ya Usd2 billion
Makampuni kushitakiwa kutokana na shughuli zao ni kawaida. Kina Google, Facebook na Amazon wanashitakiwa mara kibao ndo maana kampuni zote zina vitengo vya sheria.

Hata Monstanto ilishitakiwa kwa Agent Orange na dawa nyingine ya kuua wadudu ila bado bidhaa zake za kilimo zinanunuliwa
 
Mkuu unazungumziaje JJ kushtakiwa na baadhi ya Wamarekani kwa sababu kuna bidhaa flani ziliwaletea kansa wateja wao. Mpaka sasa kesi za aina hiyo zimeshawagharimu zaidi ya Usd2 billion
Saratani inaweza kusababishwa hadi na KARANGA zisizohifadhiwa vyema sasa sijui mwathirika atakwenda kuushtaki mnyororo wa BIDHAA HIYO toka shambani mpaka masokoni.....

Leo hadi JUA linaweza kusababisha SARATANI sasa sijui nani atapelekwa MAHAKAMANI....

#TujitokezeniKuchanjwa
#NaliandaaBegaLanguNaChanjoYaJohnson&Johnson
#KaziIendelee
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Kati ya watu ninaowapuuza JF ni wewe GENTAMYCINE.
 
Kuna Watu ambao achilia mbali tu Elimu zao kubwa bali hata uwezo wao mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaalam na Kitaaluma wakisema mambo GENTAMYCINE huwaamini na Kushawishika.

Kwa Ufafanuzi mzuri nilioupata kutoka kwa Mwanamama na Daktari Nguli Seche Malecela ( Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samuel Malecela ) kuhusu Chanjo hii ya UVIKO 19 Kesho asubuhi naanza Kuzunguka Hospitalini Kote Mkoani Dar es Salaam ili nikachanjwe nayo.

Nawatakieni kila la kheri wale Wote mnaomuamini Kibwetere aliyechangamka aliyeko Ubungo Mkoani Dar es Salaam ambaye anajinasibu ni Mchunga Kondoo wa Bwana wakati kumbe ni Tapeli tu wa Kiroho na Kiimani huku pia akiwa ni Muigizaji mzuri wa Sinema za Ngono Mitandaoni.

Ahsante sana Rais Samia kwa Chanjo hii.
Tunakutakia chanjo njema mkuu.
 
Alitimuliwa na serikali iliyopita....

Rais wa Serikali mpya ni Msikivu mh.Samia Suluhu Hassan.....

#TujitokezeniKuchanjwa
#KaziIendelee
Sababu ya kutimuliwa ilikuwa nini? Halafu tuendelee baada ya kusema sababu
 
Huyo tapeli Dk Malechela aliyesingizia ohh Kuna Sas sijui ugongonjwa gani Magufuli akampiga chini kwa uongo na kutaka kuua utalii kwa kisingizio Cha ugonjwa feki usiokuwepo? Mpuuzi huyo timu Magufuli tupo hatujamsahau na utapeli wake wa kutafuta pesa kwa nguvu kwa kuwazulia magonjwa hewa watanzania kama Mama Samia alivyojipanga kuzulia asilimia kubwa ya watanzania kuwa wanna ugonjwa hewa wa Corona na balozi Mulamula wake mtaalaamu wa Diplomasia hewa ya Corona

Hii Vita muulizeni hiyo Sas sijui yake aliyotuzulia watanzania huyo tapeli Dk Mwele Malechela iko wapi na mkoa upi

Mama Samia karudisha mitapeli mipiga pesa akiwemo inayojiita mi Dk kuwa mishauri yake akiwemo Mwele Malechela

Mama Samia utatunzwa maisha yote na serikali wewe na familia yako unataka pesa za wazungu za nini kutuumiza watanzania na michanjo yako tumekukosea Nini wewe Mama? Hulipi Kodi wewe na wabunge wako lakini mnataka wigo wa walipa Kodi uongezeke kwa maskini kupitia miamala nk hamtaki huo wigo uwafikie nyie

Na mlaaniwe Na Mungu kuanzia wewe na wabunge.Mungu na asimame Kati ya maskini na nyie aamue kwa haki Kati ya maskini na wewe na wabunge watu maskini
 
Hili siyo swala jepesi la kufuata mkumbo wa Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)
Hili ni suala la kutumia logic! Kasoro alizoziibua zilikuwa za kisayansi, na wanasayansi wote wenye utimamu wa akili walimuelewa! Hata argument za Gwajima pia ni za kisayansi, na wanadayansi kwa bahati mbaya kwa sasa hawana majibu ya uhakika kwa kuwa walikiuka taratibu za kisayansi ambazo ndizo zingetoa majibu ya hoja za Gwajima!
Ww unayemeza kila kitu unachoambiwa unayo hatari kubwa ktk dunia ya sasa!
Namuunga mkono Gwajima ktk hili sidanganyiki!
Hivi huyo Gwajima na hata JPM ni kasoro ipi za Kisayansi walizotaja?!!

JPM nilimuunga mkono mambo mawili tu....

1. Suala la kutoweka lockdown... coz' hata nami sikuwa in favor of lockdown though nilitarajia angewahi kupiga lockdown airport na mipaka!!!

2. Kuishi na corona... coz' automatically usipokuwa tayari na lockdown ina maana people have to learn how to live SAFELY with corona!!!

Haya, TAJA HAPA HIZO HOJA ZA KISAYANSI ZILIZOTOLEWA NA GWAJIMA, IKIBIDI HATA ZA JPM!
 
View attachment 1875470unang'ela panga'ng'a huku UKIMEZA "KUNDE"....

Nazo pia zinatoka kwa "mabeberu"....

Anyway ,Leo unamkataa J&J ,ila umesahau kuwa ndio ALIOKUFANYA USITOKE VIPELE VYA JOTO wakati wa uchanga na utoto wako....nawe unaendeleza kwa VITOTO VYAKO....

"Powder ya baby Johnson"....

#TujitokeziKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Sijakuelewa, hoja yako hasa ni ipi?
 
Huyo tapeli Dk Malechela aliyesingizia ohh Kuna Sas sijui ugongonjwa gani Magufuli akampiga chini kwa uongo na kutaka kuua utalii kwa kisingizio Cha ugonjwa feki usiokuwepo? Mpuuzi huyo timu Magufuli tupo hatujamsahau na utapeli wake wa kutafuta pesa kwa nguvu kwa kuwazulia magonjwa hewa watanzania kama Mama Samia alivyojipanga kuzulia asilimia kubwa ya watanzania kuwa wanna ugonjwa hewa wa Corona na balozi Mulamula wake mtaalaamu wa Diplomasia hewa ya Corona

Hii Vita muulizeni hiyo Sas sijui yake aliyotuzulia watanzania huyo tapeli Dk Mwele Malechela iko wapi na mkoa upi

Mama Samia karudisha mitapeli mipiga pesa akiwemo inayojiita mi Dk kuwa mishauri yake akiwemo Mwele Malechela

Mama Samia utatunzwa maisha yote na serikali wewe na familia yako unataka pesa za wazungu za nini kutuumiza watanzania na michanjo yako tumekukosea Nini wewe Mama? Hulipi Kodi wewe na wabunge wako lakini mnataka wigo wa walipa Kodi uongezeke kwa maskini kupitia miamala nk hamtaki huo wigo uwafikie nyie

Na mlaaniwe Na Mungu kuanzia wewe na wabunge.Mungu na asimame Kati ya maskini na nyie aamue kwa haki Kati ya maskini na wewe na wabunge watu maskini
Yehodaya za siku ?!!

Kumbe ninyi watu hamkuwa CCM....

Ninyi watu mlikuwa tu "CCM UPEPO" kwa ajili ya kipenzi chetu Hayati Magufuli.....

Aliondoka baba wa taifa akaiacha CCM....kwa hiyo tuanze kushambulia viongozi wa CHAMA simply kwa kuwa aliyekuwepo HATUMTAKI/HATUMPENDI/TUNAMCHUKIA?!!!

Hivi ninyi kweli MLIPITIA MADARASA YA ITIKADI YA CHAMA?!!!

Pamoja na kukinzana hoja sijapatapo kumuona mwanaCCM akimshambulia mwenyekiti kiasi hiki?!!!!

#SiempreCCM
#KaziIendelee
 
Ndugu yangu !!Afya yako ni muhimu sana.Ili jambo jambo halihitaji kukurupuka.Kwa sasa tuna bahati sana.Habari zote zipo Kiganjani mwetu.Sawa umemsikia Dr Malechela.

Lakin pia umesikia taarifa za huko USA jana ijumaa?Asilimia 75 ya waliochoma chanjo wanaumwa Covid serious. CDC imesema kati ya hao wengine walichoma chanjo mbili.Huu muda watanzania tujitahid kusoma taarifa Mara kwa Mara.Sio kama zamani tulivyodanganywa.
We Mtu wa ovyo kabisa. Unapata faida gani kuandika uzushi. Asilimia 75 ya waliochoma chanjo US wana Covid? Nini chanzo cha taarifa yako?!?.
 
The problem, mengi ya hayo uliyotaja kama sio yote yanaenezwa na hao hao watu aina ya Askofu Rashid!!

Tatizo kubwa la Tanzania ni moja....

Kwa bahati mbaya sana aliyekuwa Rais wa nchi alikuwa anatia kasoro kila kinachoongelewa na watalaamu kuhusu corona!!

Kutokana na hilo, viongozi walio chini yake karibu wote wakawa wanalazimika kuimba tune ya Mwenye Bendi,

Wafuasi wake ambao ni wengi kabisa wakalazimika kuimba tone ya mwenye band!!!

Tatizo la sasa sio tena kwa viongozi kwa sababu viongozi wamepata mkuu mpya na hivyo wanalazimika kuimba tone ya mkuu mpya!!!

Wale wafuasi KATU hawawezi kukubali kirahisi kubadili tone ya yule waliyekuwa wanamuunga mkono kwa jasho na damu kwa sababu, kufanya hivyo itakuwa ni kama wanamkosoa kwamba hakuwa sahihi!!

Hawa, sio kwenye chanjo tu, ni kama wameapa kulinda na kutukuza misimamo yote ya Mwendazake!!!

Hata hapa ukifuatilia, asilimia kubwa ya wapinzani wa haya hii ni Wafuasi Kindakindaki wa Mwendazake!!!

Hata huyo Gwajima, I doubt kama angekuwa na msimamo huu lau kama Mwendazake angekuwa na mtazamo tofauti!!
Si mnasema mwenda zake alikuwa hapendwi?

Sasa hao wafuasi wake wanatoka wapi?
 
Si mnasema mwenda zake alikuwa hapendwi?

Sasa hao wafuasi wake wanatoka wapi?
Ungekuwa mfuatiliaji wa posts zangu tangu zama hizo ungeifahamu phrase niliyokuwa naitumia mara kwa mara kwamba "Mtaji Mkubwa wa Magu ni Jeshi Kubwa la Wajinga Lililo Nyuma Yake"! Mwisho wa kunukuu, na sina maelezo zaidi...
 
Hivi huyo Gwajima na hata JPM ni kasoro ipi za Kisayansi walizotaja?!!

JPM nilimuunga mkono mambo mawili tu....

1. Suala la kutoweka lockdown... coz' hata nami sikuwa in favor of lockdown though nilitarajia angewahi kupiga lockdown airport na mipaka!!!

2. Kuishi na corona... coz' automatically usipokuwa tayari na lockdown ina maana people have to learn how to live SAFELY with corona!!!

Haya, TAJA HAPA HIZO HOJA ZA KISAYANSI ZILIZOTOLEWA NA GWAJIMA, IKIBIDI HATA ZA JPM!
Tusichoshane! Kama hukuzijua basi uwezo wako ndipo ulipofikia, usifosi😂😜!
 
Ungekuwa mfuatiliaji wa posts zangu tangu zama hizo ungeifahamu phrase niliyokuwa naitumia mara kwa mara kwamba "Mtaji Mkubwa wa Magu ni Jeshi Kubwa la Wajinga Lililo Nyuma Yake"! Mwisho wa kunukuu, na sina maelezo zaidi...
Mbona sasa hatuoni walau watu mamilioni wenye elimu zenu mkifurika huko kwenda kupata chanjo?

Nlitegemea hizo milioni 1 zilizokuja ziishe fasta kwa kugombaniwa!

Ina maana katika watu milioni 60 hapa tz wote ni wajinga? Yani hatuna watu welevu walau milioni 1 wakamalize chap hizo chanjo? Wote ni wajinga wafuasi wa Magu?
 
Back
Top Bottom