Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Hili siyo swala jepesi la kufuata mkumbo wa Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)The problem, mengi ya hayo uliyotaja kama sio yote yanaenezwa na hao hao watu aina ya Askofu Rashid!!
Tatizo kubwa la Tanzania ni moja....
Kwa bahati mbaya sana aliyekuwa Rais wa nchi alikuwa anatia kasoro kila kinachoongelewa na watalaamu kuhusu corona!!
Kutokana na hilo, viongozi walio chini yake karibu wote wakawa wanalazimika kuimba tune ya Mwenye Bendi,
Wafuasi wake ambao ni wengi kabisa wakalazimika kuimba tone ya mwenye band!!!
Tatizo la sasa sio tena kwa viongozi kwa sababu viongozi wamepata mkuu mpya na hivyo wanalazimika kuimba tone ya mkuu mpya!!!
Wale wafuasi KATU hawawezi kukubali kirahisi kubadili tone ya yule waliyekuwa wanamuunga mkono kwa jasho na damu kwa sababu, kufanya hivyo itakuwa ni kama wanamkosoa kwamba hakuwa sahihi!!
Hawa, sio kwenye chanjo tu, ni kama wameapa kulinda na kutukuza misimamo yote ya Mwendazake!!!
Hata hapa ukifuatilia, asilimia kubwa ya wapinzani wa haya hii ni Wafuasi Kindakindaki wa Mwendazake!!!
Hata huyo Gwajima, I doubt kama angekuwa na msimamo huu lau kama Mwendazake angekuwa na mtazamo tofauti!!
Hili ni suala la kutumia logic! Kasoro alizoziibua zilikuwa za kisayansi, na wanasayansi wote wenye utimamu wa akili walimuelewa! Hata argument za Gwajima pia ni za kisayansi, na wanadayansi kwa bahati mbaya kwa sasa hawana majibu ya uhakika kwa kuwa walikiuka taratibu za kisayansi ambazo ndizo zingetoa majibu ya hoja za Gwajima!
Ww unayemeza kila kitu unachoambiwa unayo hatari kubwa ktk dunia ya sasa!
Namuunga mkono Gwajima ktk hili sidanganyiki!