Ndio shida sasa wakati mwenzake alijua anapewa msaada na msamaria mwema tu,kumbe mtoaji msaada alikuwa na jambo lakeAende wapi wakat alitaka kuoa?
Nilimkuta akiwa ana stress za maisha baada ya kumaliza masomo yake katika chuo fulani. Nilimshika mkono, nikamfuta machozi kisha nikampenda na nikamfundisha kunipenda
Ndio shida sasa wakati mwenzake alijua anapewa msaada na msamaria mwema tu,kumbe mtoaji msaada alikuwa na jambo lake
Wanawake huwa wanajipna expensive snWeka akiri na nguvu kwenye mambo yako mzee, kuwa busy as if nothing wrong, ukiendelea kumfatilia anajisikia wa thamani zaidi. Afu adi hapo ni ngumu kuishi pamoja maana hatambui thamani ya kujitoa kwako.
Miaka kadhaa ilinitokea Kama haya yaliyokutokutokea, nilichokifanya niliachana nae kwa moyo mmoja na chochcote nilichowahi kumsaidia niliona Kama ni msaada tu ambao naweza kumpa yeyote muhitaji, sikutaka kumuona special Tena .. ilinisaidia sana
Muda wowote unapotoa msaada ata Kama unaempa msaada ni mpenzi wako ebu jaribu kutomfanya special sana, hasa ukiwa huna Imani nae. Msaidie Kama unavyoweza msaidia mtu mwingine yeyote Tena bila kutazamia kurejeshewa fadhira, Mimi imenisaidia sana.
Nilipokuwa chuo frani nilikuwa na bint ambaye pia ningeweza kumuoa, nilimlipia ada ya mwaka mzima, moyoni mwangu sikutaka kuchukulia kwamba ni lazima nimsaidie Kama mpenzi, Ila nilitoa msaada kwasababu amekwama na nilichukulia poa japo yeye alidhani nilimpa kwasababu ni mpenzi wangu..... Aligundua siku nilipomsaidia mtu mwingine tofauti na yeye na alimaindi sana, nikamwambia namsaidia yeyote kwa chochote nilicho na uwezo nacho...akaniuliza Mimi ilinisaidia Kama Nani, nikamwambia Kama mwingine yeyote.. ata alipoamua kuendelea na maidha yake haikuniuma kabisa.
Take easy ni sehemu ya maidha ya mahusiano tu...utafika tu.
Jamaa kimachomuuma kanunua malaya kwa bei mbaua na kaz kampaTatizo wema wako uliambatana na kupiga K,
Kama ndivyo huenda naye anaamini ulimtumia sababu ya umaskini wake huku wewe ukijiaminisha mko pamoja ,
kilichomleta kwako ameshakipata ,what next,ametafuta maisha mengine ,inabidi ukubali maisha yaendelee,utakuwa umejifunza ,wakati mwingine hutafanya makosa
Akikuelewa hapa basi inatosha.Tenda wema uende zako
Usipofanya hivi, masters utaipata baada ya miaka sitaView attachment 1740887
Hata Mimi nimemshangaa Sana .Yaani uache kusimamia biashara Kwa kuwaza hiko kimcharuko?..
Seriously?...
Unatakiwa umshukuru Mungu umeona rangi zake mapema sana...asije kukusumbua huku ushazaa nae na ushamuoa
Follow this advice bruhSometimes letting go is the best way to go!!
Kwa kuzingatia sasa Ana mshahara wake , nakushauri kama ifuatavyo
Embu wewe mwenyewe Jiondoe kwake.
Kata Nyuzi ya Mawasiliano iliyokuwepo.
Ndiooo ,usimtafute kwa meseji, kwa simu wala kwann,
Achana na hasra, chuki nakuwaza ulichowekeza, amini nakuambia kadri ambavyo unayawaza haya ndivo unazidi kuumia.
Kuwa Chanya...yaan jipende, kuanzia mavazi, mwonekano, maisha ,kazi ,kua mwenye furaha
HAKIKISHA UNAMUONYESHA KUA UNAFURAHA BILA KUMTAFUTA, ..WATU WABAYA WANAKAWAIDA YA KUTAKA KUONA UBAYA ALOKUFANYIA UNAKUONDOLEA FURAHA. NAHAPA UKIWAJULIA, NIWAO WENYEWE WATAUMIA ( ZINGATIA SANA HILI) .
Hakikisha Sanaaa Hauwi mtu wa mitandaoni sanaaaa , ila kua mtu wa mtandaon kwa 'Nadra yenye Uhakika".. Hapa lengo ni kumrudisha kama bado unamhitaj, nahapohapo lengo nikuendelea na Maisha yako wewe kama wewe.
Kwahiyo,
ACHA KUPOST POSTS ZINAKUONYESHA UNA HUDHUNI ,ACHA KABISAAAA.
kama ni jumbe ,tafuta zile jumbe zinazokuonyesha una furaha mfano"Life is full of surprises "..... Love and happiness ".
Yaaan ukipost leo, unatulia kama siku nne au wiki unapost tena , kama ni picha Weka zinazokuonyesha umecheka ,umetabasamu, uko na jamaa zako wakike au wakiume mkifurahi.
Hakikisha Asijue ratiba za Maisha yako kupitia mtandao..yaan hapa asijue upo wapi siku hizi, unafanya nn, upo na nani n.k
USITUMIE WATU KUMBEMBELEZA.
USIJE KUMBEMBELEZA, AU KUMUOMBA MSAMAHA, KUJARIBU KUHOJI KUNAN, KWANN KABADILIKA N.K ACHAAAAAAAAAAAAAA.
HIZI MBUZI ZISIZOJIELEWA ,HUJA KWENYE MAISHA KUFUNDISHA ..NAHIVO JIONE WEWE NI BORA, WA THAMAN, HB, MWENYE MAISHA. HUWEZ AMIN, ASIPOJIRUDI, ATAKUJA BOOOOONGE LA DEMU KISUUUUUUUU KIKALIIII PISI YENYE KUUMBWA NA KUUMBIKA, ACHANA NAHILO GARI LA MKAA.
Mpe experience yako na mahondawInsikitisha na pole sana...
Ukiwa nae hajiamini ila anakushutumu wewe kwa kutojiamini sababu unamfuatilia...
Hapendi kuongozana na wewe...
Jibu ni kwamba ana makandokando mengine pembeni ndiyo maana...
The real makaveliWe fala achana nae huyo, fanya kama ulimsaidia moita njia, utamuwaza saana utajitia presha utakufa kingese, unamuacha mwenzio anapigiliwa mbupu duniani, unawaachia wenye kukupenda kweli pengo lisilozibika...
Kuwa MWANAUME.
Mara nyingi watu huwa ving'ang'anizi wakiwaza jinsi walivyojitoa na kuligharamaia penzi ili wapendweWanawake wote hawa Tanzania bara na visiwani unalalamika kutopokelewa simu na mmoja
Pole sana aisee
Mzee mwenzangu hivi hawa wanaume wenye nyoyo dhaifu dhaifu hawa ni uzao wa nani hawa!? Mtu anataka kushindana na uhalisia.The real makaveli