mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,857
Mpaka leo sijaelewa maana ya hii kauli, ngoja niwaambie kitu labda mnaweza kunijuza. Nimeingia kwenye ndoa nikiwa na miaka 19 sababu ya kufanya hivi binti kwao maisha yalikuwa magumu wazazi wake walifariki nikasema ngoja niokoe japo mwenyewe sikuwa na mishe. Uzuri mzee pesa alikuwa nayo ile paa nikamtoa kwao walikopanga wazee wake pamoja na wadogo zake nikamleta gheto tukawa tumepanga.
Mwezi ukapita nikampiga mzinga mzee nikajenga ila kwa kutumia mgongo wake mzee yaani hati za kiwanja pamoja na nyumba, mara paa nikawa bize kuwahudumia wao kuliko kujenga malengo yangu nikiwa na maana nikaacha chuo na mambo mengine.
Miaka 7 akapita maisha yakaanza kuniwia vigumu kazi zangu nyingi zilikuwa vibarua kama kulima na kuchimba vyoo, mke wangu alivyoona nayumba vikaanza visilani ooh hakuna unachofanya unashinda tu nyumbani huna lolote na miaka inapita kwanza nyumba yenyewe ya mzee wako sina cha kujivunia kwako, akasahau kwamba nilipambana mpaka wadogo zake wamekua, yeye kapata kazi.
Wakuu inaumiza sana grr grr nakuja maana bosi anapiga.
Mwezi ukapita nikampiga mzinga mzee nikajenga ila kwa kutumia mgongo wake mzee yaani hati za kiwanja pamoja na nyumba, mara paa nikawa bize kuwahudumia wao kuliko kujenga malengo yangu nikiwa na maana nikaacha chuo na mambo mengine.
Miaka 7 akapita maisha yakaanza kuniwia vigumu kazi zangu nyingi zilikuwa vibarua kama kulima na kuchimba vyoo, mke wangu alivyoona nayumba vikaanza visilani ooh hakuna unachofanya unashinda tu nyumbani huna lolote na miaka inapita kwanza nyumba yenyewe ya mzee wako sina cha kujivunia kwako, akasahau kwamba nilipambana mpaka wadogo zake wamekua, yeye kapata kazi.
Wakuu inaumiza sana grr grr nakuja maana bosi anapiga.