BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 585
Kutoka mtaa wa pili kwenye ukurasa wa FB nimekutana na hii promo, Kwa mtazamo wangu tu hii hali ya kutuambia tuvumilie mpaka leo hii ni miaka 50.Sio fair kabisa! Yaani mtu kazaliwa babako anavumilia, unazaliwa wewe unaendelea kuambiwa Vumilia! Huu uvumilivu utaisha lini!??