Sio vizuri kusifia kila kitu vilevileWakati mwingi si kupinga kila kitu, hoja ni muhimu sana... Ndege ni biashara, faida inayopatikana kupitia biashara hii ya ndege inaweza kujenga kituo cha afya na babu yako akatibiwa, pia hiyo faida inaweza kununua ambulance na kumchukua babu yako kwa haraka kwenda kituo cha afya cha karibu.. Sio lazima babu yako apande hiyo dream liner....
Elezea nikinufaika Mimi babu naye ananufaika vipimkuu!c lazima babu au aliye kijijin anufaike kwa kuitumia moja kwa 1,ila ww wa mjini ukinufaika na yeye kwa namna 1 au nyngne atanufaika.
Mirembe wameanza lini kuwaruhusu wagonjwa kutumia smartphoneUjinga ni kutojua unataka nn nyie watu wa CDM hamna akili
Nitabadilisha siku ambayo hapo mirembe wagonjwa mtakatazwa kutumia smartphoneBadilisha wewe ili imnufaishe babu yako huko nanjilinji !
Ni kweli sometimes inabidi tukubaliane na ukweli na uhalisia. Siipendi lumumba na najua magamba wengi huenda hawampendi JPM kwa sababu ya kasi yake ya uwajibikaji ambao wenyewe wamezoea kuchumia kivulini. Wasiwasi ni kama vile 'visiki' vya Lumumba vitamuachia kuendelea na kazi yake kama alivyokwisha tanabaisha katika ugumu wa 'kufukua makaburi. Tunaendelea kumuombea lakini pia tunamuombea na Mh. Lema asidhurike huko aliko huku tukiwaonyesha kidole waliompeleka aliko.Wakati mwingi si kupinga kila kitu, hoja ni muhimu sana... Ndege ni biashara, faida inayopatikana kupitia biashara hii ya ndege inaweza kujenga kituo cha afya na babu yako akatibiwa, pia hiyo faida inaweza kununua ambulance na kumchukua babu yako kwa haraka kwenda kituo cha afya cha karibu.. Sio lazima babu yako apande hiyo dream liner....
Ndio maana hii hali tunayopitia sasa ni muhimu sababu itatusaidia kujuana rangi zetu halisi. Kuna baadhi ya watu walishakuwa qualified kama 'think tank' za Tanzania lakini kumbe vichwa vyao ni sawa na watoto wa chekechea!Mirembe wameanza lini kuwaruhusu wagonjwa kutumia smartphone
Kumbe mtu mwenyewe unaandika kwa hisia tu!Mkuu ungeanza kukishughulisha kwanza wewe ndo unishauri na mimi...ungekuwa unakishughulisha usingekuwa kijana wa lumumba
zipi hizo za kimataifa zile za kukodi au zipi hizo , tanzania hatujawahi kuwa na ndege za kimataifa mkuu zile hazikuwa za kwetu zilikuwa za watu
Sio vizuri kusifia kila kitu vilevile
Inahitaji isomi wa hali ya juu kujua babu yako ananufaikaje....kifupi tu ni kwamba ndege zina stimulate utalii na utalii unaliingizia taifa pato la kigeni zaid ya madini yote na pato hilo hutumika kutekeleza shughuli za maendeleo ikiwemo ujenz wa miundombinu ya maj barabara umeme elimu n.k kwenye maeneo mbalibali ya nchi kikiwemo kijiji cha babu yako ulichokitaja...tuweke itikadi pembeni tujifunze kupongeza tukiangalia kwa jicho la kulaumu tutalaumu kila cku iendayo kwa GodHivi hizi ndege zinamnufaishaje babu yangu anayeishi kule nanjilinji
Kuzungusha kwako mikono kumemsaidiaje babu yako anayeishi kule nanjilinji?Hivi hizi ndege zinamnufaishaje babu yangu anayeishi kule nanjilinji
#2020_USIRUDIE_KOSA
Hoja kwako inaweza kuwa si hoja kwa mwingine and sometimes watu wanajitahidi kujenga hoja kwa vitu ambavyo si sahihi kabisa kwa kuwa tu ni wachache miongoni mwa wanufaika wa mfumo.Tunapinga na kusifia kwa kuangalia uhalisia na ukweli wa jambo lenyewe na ndio maana umeona nimejanga hoja kwenye jambo husika..
Idadi ya watalii kwenye awamu hii ya tano umepanda or umeshuka??Inahitaji isomi wa hali ya juu kujua babu yako ananufaikaje....kifupi tu ni kwamba ndege zina stimulate utalii na utalii unaliingizia taifa pato la kigeni zaid ya madini yote na pato hilo hutumika kutekeleza shughuli za maendeleo ikiwemo ujenz wa miundombinu ya maj barabara umeme elimu n.k kwenye maeneo mbalibali ya nchi kikiwemo kijiji cha babu yako ulichokitaja...tuweke itikadi pembeni tujifunze kupongeza tukiangalia kwa jicho la kulaumu tutalaumu kila cku iendayo kwa God