Baada ya Kumalizana na CCM, Shigongo kaibuka na hii

Baada ya Kumalizana na CCM, Shigongo kaibuka na hii

Jibu swali Kwa point na siyo kupayuka kilumumba Lumumba, Hizo ndege zimenunuliwa Kwa jasho letu watanzania, sasa hujajibu sisi tuliopo huku porini tutafaidikaje?
Kwani barabara inakufaidisha nn wewe m2 ulie kijijini huna gali
Acha kuropoka
 
Ukishindana pekeyako, lazima uwe mshindi..... Japo, mwiba wa kujichoma hauna pole.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Jibu swali Kwa point na siyo kupayuka kilumumba Lumumba, Hizo ndege zimenunuliwa Kwa jasho letu watanzania, sasa hujajibu sisi tuliopo huku porini tutafaidikaje?
Nyie vichaa kweli
Mnalalamika kila ki2 kizur kikifanywa
 
nyerere.alituachia nyingi kubwa zilikua zinasari nje nchi
 
Hafaidiki na uwepo wako kwani umeshindwa kumkatia hata bima ya afya aje kufaidika na Bombardier !...?


kwani wenye bima ya afya wanasafiri buree?nijibu maana mzee wangu anabima na yupo chunya,nitmsafirisha mpaka SIA then mje mumchukue na bombadier mpaka Muhimbili!

maana mzee ametngwa!

nipm namba zako,inaonekana wewe ni mwenyeji zaidi nchi hii!!!
 
Duuh Miaka 50 ya Uhuru[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe tulipata Uhuru mwaka 66??

Kweli maCCM ni maVilazer.
 
kwani wenye bima ya afya wanasafiri buree?nijibu maana mzee wangu anabima na yupo chunya,nitmsafirisha mpaka SIA then mje mumchukue na bombadier mpaka Muhimbili!

maana mzee ametngwa!

nipm namba zako,inaonekana wewe ni mwenyeji zaidi nchi hii!!!
Hiyo ni shida yako, tukikusaidia hiyo then utakuja na shida nyingine usaidiwe mkeo kufikishwa kileleni !
 
Hata ungekuwa unaheshimika kiasi gani,ukianza kujinyenyekeza kwa watawala tu-Hadhi yako inashushwa hadi wadogo zako "akina Nape,Makonda" watakupa amri na utatekeleza kwa unyenyekevu kana kwamba wewe ndio "dogo" kwao!
Heshima niliyokuwa nayo kwa Erick niliishusha baada tu ya kuusoma waraka wake wa pili ulioelezea jinsi alivyomalizana na wadaiwa wake...
Erick ni mnafki sana!

RN tueleze Unafiki wa Erick
 
Kibiashara ni kosa kubwa!

Hapo hamna kosa kabisa.Kaeleza Tanzania tulikuwa tunaziona hizo ndege za kimataifa Sasa tunaiona yetu.Kwa upande mwingine hizo kampuni za ndege zinafurahi kutangazwa bure.Huwezi huwa Labda tutakuwa nao ubiya.
 
Back
Top Bottom