Mzee slaa amejivunjia heshima mwenyewe, alitakiwa kusoma alama kwanza siokukurupuka tu, angetulia tu asubiri mabadiliko kama anadhani chadema itayumba ajiulize zito alivyo timuliwa chadema ilikuwaje na sasa ikoje.
subir baada ya uchaguz ndo utajua chadema baada ya hao watu kutoka itakuweje na je lowasa ataweza kuzunguka nchi hii kama mpinzan kuikemea serikali ya maguful kama slaa alivyokuwa akiikemea ya kikwete?