Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,791
- 182,965
Mtatumia zako.Guys guys nauli tatoa wapi? Inaishia kazini tu😆
Mtatumia zako.Guys guys nauli tatoa wapi? Inaishia kazini tu😆
Ukichangamka unajiokotea tuHivi Kuna watu waga mnawaza kupata bebe HUMU😀😀🙌 dunia ina Mambo mengi sana
Mi sijawahi miliki mia😂Mtatumia zako.
Oya mamaa imenyooka, hapa kama ni swala la kupendwa napendaa wazee since 2016, bad thing kaajiriwa hizo insecurity sasa zinatuweka pabaya plus ke akikuzid kipato Kuna namna tu😀😀Dah hako kadada hizi meseji nimezipenda bure .
Kanatia hamasa na kanatia nguvu ya kupambana aisee bila kenyewe na huu msoto unaopitia ungekuwa umekufilia mbali kabisa .
Anyway boss kubwa mwambie tulikubaliana nini ili aanze upya akiwa nje ya makubaliano temana na hiyo kazi tafuta kwingine
Njoo kona ya bwiru utaikuta maeneo ukishatia timuEka hapa nikopi chap chap
Nifunge safari kuja kuchukua vocha🙆🏽♀️Njoo kona ya bwiru utaikuta maeneo ukishatia timu
Huyo ni mshua dogo rasi!Oya mamaa imenyooka, hapa kama ni swala la kupendwa napendaa wazee since 2016, bad thing kaajiriwa hizo insecurity sasa zinatuweka pabaya plus ke akikuzid kipato Kuna namna tu😀😀
Tatizo awasomi watu umu yeye ni kukurupukaHuyo ni mshua dogo rasi!
Ila nimesoma ni kama anamanisha mamaa amenyooka! Huenda hammaanishi mkuu🤭Tatizo awasomi watu umu yeye ni kukurupuka
Sasa mbona unaniita mama tena ndugu ?Oya mamaa imenyooka, hapa kama ni swala la kupendwa napendaa wazee since 2016, bad thing kaajiriwa hizo insecurity sasa zinatuweka pabaya plus ke akikuzid kipato Kuna namna tu😀😀
Nahisi anamaanisha mimi yaani mama imenyooka kama chuga hivi 🤔Sasa mbona unaniita mama tena ndugu ?
Mh huyu rafiki yako kwa hizi lugha watamtimua kwenye ofisi zenyewe hizo za macomputerNahisi anamaanisha mimi yaani mama imenyooka kama chuga hivi 🤔
Zimekaa kibangi bangi eeh? Sema kwenye kazi ya buku dasi sio swala🤣Mh huyu rafiki yako kwa hizi lugha watamtimua kwenye ofisi zenyewe hizo za macomputer
Daah anamaanisha huyo mtu wake 🤣Nahisi anamaanisha mimi yaani mama imenyooka kama chuga hivi 🤔
Hukuwepo soma kuanzia mwanzo utaelewa lolsDaah anamaanisha huyo mtu wake 🤣
Kuna mama moja nataka niibukie na nyuzi kama yule forest cjui na mwenzie chai ya rangi 😂😂Hukuwepo soma kuanzia mwanzo utaelewa lols
Ni Kwanini umebadili id unataka kutufanyanini?😅
Fanya kweli ntakusupport kwa namna zote🤣💪🏽Kuna mama moja nataka niibukie na nyuzi kama yule forest cjui na mwenzie chai ya rangi 😂😂