Baada ya chuo ningepata kibarua, malipo!

Baada ya chuo ningepata kibarua, malipo!

Point tupu, sema nimemwambia nitampigia simu nkae ntafakari coz skufikiria hivyo vile ambavyo yeye ananilipa, mkuu naomba tuwasiliane 0769442907
Mawazo Yako ni chanya sana🙏🙏✅
Umepigwa ndoige mpaka umekubali kaka yaani umesahau namba tunawekaga PM umempa hapa hapa .

Kikubwa awe salama ila yakitokea mengine sitasita kukutafuta 😀
 
Sijajua umbali wa sehemu ya kazi na hapo unapo kaa lakini kama unapewa 5k per day manaake kwa mwezi ni 150k ambapo uwenda hata kodi na vipengele kadhaa kama mwanamme sometimes utashindwa kusolve kwahyo nini kifanyike?

Usiache kazi ghafla ila angalia upande wapili, endelea kukaa rader 👀. Ukipata mchongo hata wa 7k pita nao chap mana hapo wanakunyonya mkuu.

Lakini pia huyo muajili wako pia ni mbabaishaji, kama mlisha kubaliana kila kitu ni juu yake iwaje sasa hivi aje kugeuza kibao maana ake hapo trust aipo.
Tafta mchongo mwingine .

Nb: usiondoke kwa shali
Hakika ntaondoka Kwa heri kabisa.
Nauli 900x2=1800~2000
So pow kbs, bad thing kabadl kula na nauli ni juu yangu malipo 4000 nliomba aongeze iwe 5k alikubali nkijua ntasave 5k per day 120 per month sababu naanza ningejituma haswa ila sasa Kwa style kanikata mood sana sana mkuu💔
Sijajua umbali wa sehemu ya kazi na hapo unapo kaa lakini kama unapewa 5k per day manaake kwa mwezi ni 150k ambapo uwenda hata kodi na vipengele kadhaa kama mwanamme sometimes utashindwa kusolve kwahyo nini kifanyike?

Usiache kazi ghafla ila angalia upande wapili, endelea kukaa rader 👀. Ukipata mchongo hata wa 7k pita nao chap mana hapo wanakunyonya mkuu.

Lakini pia huyo muajili wako pia ni mbabaishaji, kama mlisha kubalia
 
Hakika ntaondoka Kwa heri kabisa.
Nauli 900x2=1800~2000
So pow kbs, bad thing kabadl kula na nauli ni juu yangu malipo 4000 nliomba aongeze iwe 5k alikubali nkijua ntasave 5k per day 120 per month sababu naanza ningejituma haswa ila sasa Kwa style kanikata mood sana sana mkuu💔
Mwambie ukweli tu kazi nyingi zina changamoto katika makubaliano! Ukiona anakaza fanya maamuzi unayoona ni sahihi kwako!
 
Mkuu elfu 5 hyo hyo ni nauli ya kwenda na kurudi , hiyo hiyo apate chakula mkuu, halafu kama mwamme kuna vipengele.

Mbali na hapo kuna maswala ya kodi hapo hamna kazi mkuu wanamkandamiza tu, kua chini ya mtu ni hasara na mateso sana
Unaelewa sana kaka. Haiitaji nguvu hii
 
Mtoka bure sio sawa na mkaa bure! Kupata kazi huwa kipengele kama huna kazi! Kama umewahi kukaa bila kazi utakuwa unanielewa! Akiacha hiyo buku 5 atarudi kwa mshkaji kukaa tu ndani kama mwali? Akomae ndio uanaume huo! Akilegeza ndio biashara inaishia hapo!

Kodi ipi? Si bado anabebwa na mwenzie! Kazi nyingi za mishahara midogo ndio ziko hivyo! Lazima ajikaze kuteseka.. huwezi tu kuibuka ukawa juu ni neema ya wachache hiyo! Wengine lazima upitishwe kwenye moto kwanza! Yeye apambane kuanzisha mradi wake bila kuwa chini ya mtu sio leo sasa! Akitaka fairness lazima kimlambe!
Kukaa bila kazi ndo kunaniwazisha afu Niko Kwa mshikaji kukaa tu bure si kweli
 
Kukaa bila kazi ndo kunaniwazisha afu Niko Kwa mshikaji kukaa tu bure si kweli
Ungesikiliza ushauri wangu ungefanya la maana sana! Huyo anayekushauri ela ndogo acha kazi, muombe mchongo au ukakae kwake bure!
 
Mtoka bure sio sawa na mkaa bure! Kupata kazi huwa kipengele kama huna kazi! Kama umewahi kukaa bila kazi utakuwa unanielewa! Akiacha hiyo buku 5 atarudi kwa mshkaji kukaa tu ndani kama mwali? Akomae ndio uanaume huo! Akilegeza ndio biashara inaishia hapo!

Kodi ipi? Si bado anabebwa na mwenzie! Kazi nyingi za mishahara midogo ndio ziko hivyo! Lazima ajikaze kuteseka.. huwezi tu kuibuka ukawa juu ni neema ya wachache hiyo! Wengine lazima upitishwe kwenye moto kwanza! Yeye apambane kuanzisha mradi wake bila kuwa chini ya mtu sio leo sasa! Akitaka fairness lazima kimlambe!
Jamaa kashaonekana kapata kibarua usitegemee ataendelea kukaa bure lazma nae atie mkono kwa namna moja au nyingne hapo wanapo ishi.

Ndyo maana sijamshauri aondoke papo hapo lakini atafte sehemu nyingne, uthubutu ndo kila kitu kwanini ajitese kwa 5k kuanzia asubuh mpaka jioni non stop akati kunasehemu anaweza angaikia akapata pesa zaidi ya hyo ko bado wanamnyonya tu.

Hata watu wa jikokoa kinondoni hawawezwi lipwa hvo mkuu.
 
Dogo anataka kuonewa huruma. Mwanaume anayependa kuonewa huruma analeta mashaka kwa jamii. Mwanaume unatiwa moyo tu.
Dalili ngumu hizi! Kuna mmoja alikuwaga anaanzisha nyuzi za kujiliza kila siku, siku moja nikamchana akaishia kutitusi mie malaya lakini dawa ilimuingia!
 
Back
Top Bottom