Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 18,476
- 53,532
Ndio maisha! Kuna watu wanatafuta hata hiyo yake hawapati! Kwahivyo aangalie unafuu anaupataje tu!Jamaa kashaonekana kapata kibarua usitegemee ataendelea kukaa bure lazma nae atie mkono kwa namna moja au nyingne hapo wanapo ishi.
Ndyo maana sijamshauri aondoke papo hapo lakini atafte sehemu nyingne, uthubutu ndo kila kitu kwanini ajitese kwa 5k kuanzia asubuh mpaka jioni non stop akati kunasehemu anaweza angaikia akapata pesa zaidi ya hyo ko bado wanamnyonya tu.
Hata watu wa jikokoa kinondoni hawawezwi lipwa hvo mkuu.