Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
It will never happen. We jiulize hizi kelele zote za nini. Kuna kitu kitatokea in case watawala wakikaidi. Uzuri wa nchi yetu ina mkono wa Chuma hasa baada ya mzalendo Dkt Magufuli kujenga ujasiri wa watu kuhoji na kujiamini. Hivyo ondoa wasiwasi Sultan Mangungo Story will never repeat! Wao wenyewe viongozi wanajua kabisa the burning fire in the middle of nowhere.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwa mawazo yako mwenye akili atakubaliana na ufisadi wetu sisi wenyewe usiotufikisha popote?.

Tusikariri kuwa kila mwekezaji anakuja kutuibia, tunavyojiibia sisi wenyewe ni vibaya zaidi kuliko wanavyotuibia hawa wageni.
Mungu akusamehe hujui utendalo...
 
Dah yaani tunaamini Dkt Maguf

It will never happen. We jiulize hizi kelele zote za nini. Kuna kitu kitatokea in case watawala wakikaidi. Uzuri wa nchi yetu ina mkono wa Chuma hasa baada ya mzalendo Dkt Magufuli kujenga ujasiri wa watu kuhoji na kujiamini. Hivyo ondoa wasiwasi Sultan Mangungo Story will never repeat! Wao wenyewe viongozi wanajua kabisa the burning fire in the middle of nowhere.
Ameen...Acha nikuamini kwa maneno yako
 
Hebu thibitisha ni wapi inaonesha bandari imebinafsishwa miaka 100
Hebu tusaidie na sisi wengine kufahamu

Ova
Kasome Azimio ndiyo uje urudi kubisha...Usisome kama mtu anayejua kusoma na kuandika ukaja hapa kutuonyesha kujua kwako, kasome between the lines ipo wazi hapo...Mwanzoni hata mimi nilibisha ila sasa nimejidharau mwenyewe....Kweli waliofanya haya wametusoma na wametudharau kupitiliza
 
Mkuu mwafrika ni mwizi tu, kila report ya CAG ni madudu kwa kwenda mbele. Hatuna kipya chochote cha maana, ni mwendo wa urasimu ili mteja achukie atoe rushwa, bullshit kwa kifupi.

Waswahili hatuna uchungu na chetu, unajenga mazingira ya kuuchelewesha mzigo usitoke ili uibe ukisahau kuwa wanaousubiri mzigo huo ni watanzania kama wewe!, Taifa la kipumbavu sana hili.

Aje DP World, aje mwekezaji yoyote mwenye uwezo akabidhiwe bandarini, ilimradi mkataba uandikwe kwa umakini mkubwa ili maslahi yetu yalindwe.
Aje dp world au mwingine wakati tayari mshasainishana na dp world. Hio wizi unaousema haupo kwenye utendaji kwa wafanyakazi wa bandari tu hata kupata hao wawekezaji nao ni wizi. Unajua mchakato hadi kapatikanaa huyo dp world?

Pia Kama tatizo wote sisi ni wezi na wala rushwa unaamini vipi kwenye kupata hao wawekezaji hakuna rushwa?
 
Mimi sioni kama ubinafsishaji ni Tatizo?? shida ipo kwetu sisi wenyewe......

Kagame aliwai kutu insult kua apewe Bandari ya dar es salaam inamtosha kuendesha uchumi wetu wa Tanzania....

Najua Kuna Watanzania wengi smart upstair ambao wameamua kukaa mbali na siasa kwasabb husema siasa ni mchezo mchafu................

Kumbukumbu zinaniambia tulimpaga mkaburu Tanesco enzi za Ben NET GROUP SOLUTION......

NB;
Kama financial analyst ikifanyika na ikatuambia faida ya ubinafsishaji ni Bora mara 100 kuliko kuendesha wenyewe ni Bora wakapewa Kwa mkataba maalum wenye mutual benefits Kwa Kila upande........
Unategemea watakuambia huo uwekezaji ni mbaya ikiwa washaamua kufanya hivyo?

Kwenye madini mmelia miaka yote, kwenye gesi mmelia, Ila mnasubiri maajabu kwenye bandari
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183

Ukiona hadithi kama hizi, inatukumbusha ubaya wa watu watu wachache walivyojipanga kugawana keki yote ya Taifa. Haya yanafanywa na watu wale wale tena bila aibu wala uzalendo.
Kashfa hizi zinalitia sana doa Taifa letu. Watu wanaozifanya waogope mkono wenye nguvu wa Mwenyezi Mungu maana kama kutatokea madhira, basi sisi sote tutakuwa wahanga.
 
Yule mwendazake ameyasababisha yote haya, kutuletea wabunge Hawa, na Yule makamu aliyetuletea
Makubaliano yalishaafanyika nje ya bunge, mwaka Jana kwenye ziara walishasainishana. Bunge hakuna kitu wanafanya tena
 
Unategemea watakuambia huo uwekezaji ni mbaya ikiwa washaamua kufanya hivyo?

Kwenye madini mmelia miaka yote, kwenye gesi mmelia, Ila mnasubiri maajabu kwenye bandari
Wamejaa waongo na wababaishaji. Wezi wasioweza kutumia akili zao kufikiria. Hii mikataba inalisaidia nini Taifa letu?
 
Nilivoona Jana nikasema Sasa huu mkataba una tofauti na WA chief mangungo jamani
Nilichoka sana ila hii nchi Inatia hasira sana
 
Hebu thibitisha ni wapi inaonesha bandari imebinafsishwa miaka 100
Hebu tusaidie na sisi wengine kufahamu

Ova
Makubaliano yanahusisha land acquisition na land rights zote, ambazo kwa uwekezaji huwa ni miaka 99.hiyo 99 ndio watu husema 100
 
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA nao kwa kuingia Mkataba wa Ulaghai na Dr. Carl Peters wa Ujerumani ambao ndio uliidhinisha mwanzo wa utawala wa Kikoloni Karne ya 19.

Ni wazi kabisa kizazi chetu cha sasa kila kinaporejea kusoma namna mababu zetu walivyoingizwa Kingi kwenye mikataba ya ulaghai hasa kwa kumrejea Chief Mangungo wa Msowero hucheka na kuona walikuwa wajinga kiasi gani mpaka wakubali?

Lakini mababu hawa kina Chief Mangungo hawakuwa na elimu yoyote, hawakuwa wametembea sehemu mbalimbali yaani hawakuwa na exposure, mababu hawa walidanganywa kwasababu hawakuwa na elimu yoyote ya darasani na hata kutia saini walitumia dole gumba huku wakiwa hawaelewi kilichoandikwa.

Kizazi hikihiki cha baada ya Ukoloni, kizazi chenye elimu, kizazi kinachojua lugha zote rasmi duniani, kizazi cha kidigitali, kinashindwa kujiuliza na kuhoji na kuwacheka viongozi wake ambao wamekuwa wakisaini mikataba ya miaka ya zaidi ya 100 ambayo ndani yake kuna athari za kizazi na kizazi. Mikataba inayokuwa inamnufaisha mwekezaji zaidi na kuwanyonya wazawa.

Mikataba inasainiwa na viongozi waliosoma na kusomeshwa kwa fedha za umma na wana Degree, Masters na PhD, mikataba wanayosaini ni ya kinyonyaji na ya hovyo lakini mikataba inatetewa kwamba wawekezaji hawa wataongeza ajira na kizazi cha Kisomi kinafurahia na kushangilia, hakuna kuhoji, hakuna kuuliza. Ajira zinazoongezwa ni za Malipo ya bora mkono uende kinywani. Ajira zisizo za ukombozi wa kiuchumi.

Nimebahatika kuona mahali kwa macho yangu, Kiwanda ambacho kipo Tanzania eneo kilipo kuna makubaliano ya kimkataba miaka 100 kinazalisha nguo ambazo zinakwenda kuuzwa nje. Nguo zimeandikwa Made in China ila zinatengenezwa hapa kwetu. Kina wafanyakazi zaidi ya 400 (Mia nne) Mishahara wanayolipwa take home Yaani baada ya makato yote ni Sh. 90,000TZS na masaa ya kufanya kazi ni saa mbili asubuhi hadi saa moja usiku, Jumatatu hadi Ijumaa na Jumamosi ni mwisho saa nane mchana. Makontena na makontena huingia na kutoka kila wiki. Je, huyu mwekezaji ana Faida gani kwa nchi yetu kama sio unyonyaji ni nini?
Hivi mbele ya kizazi chenye wasomi lukuki viongozi wanathubutu kusaini mkataba wa kuuza bandari ya Dares salaam kwa miaka mia moja?
Je, mkataba kama huu, ulisainiwa na Mangungo? Kwanini tuwacheke wazee wetu ambao hawakuwa na elimu yoyote?

Natamani Kuwaomba msamaha kina Chief Mangungo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.View attachment 2648183
Bandari ipi iliyobinafsishwa kwa miaka 100?

Ushahidi tafadhali.
 
Mchicha eneo la wazi la mji upumue badala ya kupanda miti wamepewa walamba asali wamejenga bandari kavu hadi wamebana njia ya reli Yombo.
Kota za tazara wamezibomoa zimeguzwa bandari kavu ya walamba asali si kwa faida ya taifa.
Yaani pale palikuwaga Pana uwazi na kota Sasa hivi wamejenga banadari kavu na fire station sijui Ile
 
Rais anako ipeleka nchi anajua yeye. Yaani karne 21 ubinafshishe Bandari Kuu ya Nchi? Kitega uchumi kikuu ya Taifa! Hawa Waswazi shule ili wapita kushuto!!
Leo pia nimeona Mwigulu yupo na ma CEO wa Bank ya mikopo ya Ufaransa. Akope kwa jina la Tz. Pesa ziende kujenga Pemba!! Huu ujinga CCM kuna siku mta jibu!!
sio pemba mkuu ni Unguja
 
Mimi sioni kama ubinafsishaji ni Tatizo?? shida ipo kwetu sisi wenyewe......

Kagame aliwai kutu insult kua apewe Bandari ya dar es salaam inamtosha kuendesha uchumi wetu wa Tanzania....

Najua Kuna Watanzania wengi smart upstair ambao wameamua kukaa mbali na siasa kwasabb husema siasa ni mchezo mchafu................

Kumbukumbu zinaniambia tulimpaga mkaburu Tanesco enzi za Ben NET GROUP SOLUTION......

NB;
Kama financial analyst ikifanyika na ikatuambia faida ya ubinafsishaji ni Bora mara 100 kuliko kuendesha wenyewe ni Bora wakapewa Kwa mkataba maalum wenye mutual benefits Kwa Kila upande........
Mkataba una Ulaghai na Uongoo mwingii.. Hakuna mtu wa kukarabatia Bandarii na kuongeza ufanisi alafu Kubali mkataba wa Mwaka mmoja HAYUPO HAYUPOO. maana ukarabati tu unaweza chukua jaribu mwakaa labda kama ndp magumashi wanakuja Kuendelea kuongoza watu weusi tu bila kufanya mabadiliko ya Miundo mbinu maana kweli akili zetu ZIMEDUMAAAAA.
 
We have modern day mangungos
Yani kukubali hili suala Leo mwaka 2023 kwa kweli ni Zaidi ya Mangungo...! Mangungo afadhali utasema alikuwa mshamba ila leoo Nchi ina Maenginia wasomi wamejaa mtaani.. Hizp cranes zinauzwaa kila konaa..Vifaa na mashine za kununua na kuweka pale bandarini zifanye kazi kibaoo alafu leo tunaleta Muarabu aletee waarabu wenzake walipane Mabilion. SHAME SHAMEE..AIBUUU AIBUUU.
 
Yani kukubali hili suala Leo mwaka 2023 kwa kweli ni Zaidi ya Mangungo...! Mangungo afadhali utasema alikuwa mshamba ila leoo Nchi ina Maenginia wasomi wamejaa mtaani.. Hizp cranes zinauzwaa kila konaa..Vifaa na mashine za kununua na kuweka pale bandarini zifanye kazi kibaoo alafu leo tunaleta Muarabu aletee waarabu wenzake walipane Mabilion. SHAME SHAMEE..AIBUUU AIBUUU.
Hata Mimi nashangaa

Kitu Gani kimeshindikana au ni tabia zetu za wizi na udokozi mali za umma ndio zimeshidnikana.

Vifaa viko

Wataalanu na utalamu upo kama haupo Kuna vyuo vya kozi husika

Wataalanu wa kada zingine related na bandari wapo.

Wark force ya Taifa Ipo why mambo yawe hivi

Karne hii ya 21 unampa mgeni akuuuzie duka lako kweli si ataanza kuuza na bidhaa zake kwanza wewe utakula hasara ya Karne

Hii nchi hatujaaliwa vitu viwili AKILI NA UZALENDO basi
 
Hata Mimi nashangaa

Kitu Gani kimeshindikana au ni tabia zetu za wizi na udokozi mali za umma ndio zimeshidnikana.

Vifaa viko

Wataalanu na utalamu upo kama haupo Kuna vyuo vya kozi husika

Wataalanu wa kada zingine related na bandari wapo.

Wark force ya Taifa Ipo why mambo yawe hivi

Karne hii ya 21 unampa mgeni akuuuzie duka lako kweli si ataanza kuuza na bidhaa zake kwanza wewe utakula hasara ya Karne

Hii nchi hatujaaliwa vitu viwili AKILI NA UZALENDO basi
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
 
Back
Top Bottom