Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
CV yao inaonyesha, japo ni suala la bahati nasibu. Bandari yetu imelalamikiwa mpaka Rais Kagame, bandari yetu imetukosesha pesa nyingi pale wateja wa mataifa mengine wanapoamua kuikimbia na kwenda Kenya au Msumbiji. Tunarudia makosa yale yale kila mwaka na yanatugharimu kudorora kwa uchumi wetu.Aje dp world au mwingine wakati tayari mshasainishana na dp world. Hio wizi unaousema haupo kwenye utendaji kwa wafanyakazi wa bandari tu hata kupata hao wawekezaji nao ni wizi. Unajua mchakato hadi kapatikanaa huyo dp world?
Pia Kama tatizo wote sisi ni wezi na wala rushwa unaamini vipi kwenye kupata hao wawekezaji hakuna rushwa?
Msikilize Msigwa ataongea leo usiku katika hii mitandao ya kisasa.