radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Hapa hoja tu, hakuna kutajataja majina ya watu, food security ni body of knowledge. kujadili kwake hakuhitaji majina, kunahitaji hoja weledi. Jibu kwanza chakula ni nini? Halafu eleza kwa nini maembe unasema sio chakula hapo tutaendelea, hayo majina yapo huko kwenu Tanzania, nchi nyingine kuna majina mengine lakini njaa is universal, kama unaweza kujadili onesha kwanza unajua unachojadili. Swali la mwisho rahisi ukiunganisha na hayo mengine. Njaa ni nini? Hapo sasa tutaona uwezo wako wa kufikiri kama unaweza au la. Kamamaswali yatakupa shida basi unaweza hata ku google
uwezo wako ni mkubwa sana una hoja nzuri tanga sijui wanalilia nini wakat wanayo na machungwa wakat ni chakula kikuu kizur tu mkuu wa wilaya afukuzwe handeni wanalima vizur sana machungwa hiki ni chakula kizur pia
ndo mana nkasema magufuli na majaliwa walikurupuka kuna tani za chakula nyingi bado zipo shambani hawakupaswa kukimbilia kwenye maghala mkuu wa wilaya ya kinonondi hapi nae kachemka hakupaswa jana kwenda kukagua masokoni mahindi na mchele kwamba kuna njaa alitakiwa ahimize wafanyabiashara waagize maembe kwa wingi toka tanga chakula kipo bana hakuna shida ya chukula maembe,machungwa,mafyulisi,zambarau na ndilolo hivyo vyakula vitaharibika bure na hatuna uwezo wa kuvihifadhi kwa muda mrefu.