Azim Dewji: Siku za Nyuma ripoti ya CAG ilikuwa Siri. Wanaochezea pesa za miradi watungiwe Sheria kali

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
304
518
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuruhusu mjadala wa ripoti ya CAG unaoendelea bungeni kuwa mjadala wa wazi, amesema uwazi huo utasaisia wezi wa pesa za miradi kuacha tabia hiyo

Kwa upande mwingine, Azim Dewji amewapongeza wabunge kwa kazi nzuri wanyofanya na ameshauri wabunge kuwasaidia mawaziri kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi mbalimbali katika majimbo yao ili fedha zisipotee kwani kwa kufanya hivyo hawatakuwa na kazi kubwa ya kuomba ridhaa kwa wananchi kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025

Sambamba na hayo, Mzee Azim Dewji amewashauri wabunge kutunga sheria kali kama vile kutowapa dhamana watakaobainika kuchezea pesa za miradi ili wapate hofu ya kutumia vibaya fedha za miradi ambazo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa amepambana kuzitafuta ili wananchi wanufaike kwa kutatuliwa matatizo yao


 
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuruhusu mjadala wa ripoti ya CAG unaoendelea bungeni kuwa mjadala wa wazi, amesema uwazi huo ananchi wanufaike kwa kutatuliwa matatizo yao
View attachment 2807604
Haina haja ya kunyongwa,wafilisiwe walichoiba na penati Juu harafu waachwe kitaa.
 
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuruhusu mjadala wa ripoti ya CAG unaoendelea bungeni kuwa mjadala wa wazi, amesema uwazi huo utasaisia wezi wa pesa za miradi kuacha tabia hiyo

Kwa upande mwingine, Azim Dewji amewapongeza wabunge kwa kazi nzuri wanyofanya na ameshauri wabunge kuwasaidia mawaziri kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi mbalimbali katika majimbo yao ili fedha zisipotee kwani kwa kufanya hivyo hawatakuwa na kazi kubwa ya kuomba ridhaa kwa wananchi kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025

Sambamba na hayo, Mzee Azim Dewji amewashauri wabunge kutunga sheria kali kama vile kutowapa dhamana watakaobainika kuchezea pesa za miradi ili wapate hofu ya kutumia vibaya fedha za miradi ambazo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa amepambana kuzitafuta ili wananchi wanufaike kwa kutatuliwa matatizo yao
View attachment 2807604
Mnafiki mkubwa sana,mama awe na tahadhali na watu aina hii,wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa,asubiri muda wake wa UONGOZI umalizike ndio atajua rangi halisi za watu aina hii
 
Mfanya biashala huyu, mchango wake lazima utiliwe mashaka. Ila pia mpumbavu ndo anaweza kufikili kua kuna hatua kali zozote zitachukuliwa maana kwa mtu makini huwezi ukaona kua kiongozi mkuu wa nchi anachukizwa na matumizi ya pesa ya hovyo yanayofanywa naselikali yenyewe au ya chama chake CCM.
 
Back
Top Bottom