Azam Media Group

Azam Media Group

Anategemea kupata audience wengi sana nationwide, kwahiyo 2000 times 100,000 kwa mfano ni nyingi kuliko 40000 times 2000. just example..

Mkuu kwa walala hoi sisi tunahitaji nafuu kila cku, tunaomba liwezekane hilo.
 
Hawawezi kuonyesha epl,na kama wamesema ni marketing tu. Hiyo haki wanayo supersport, may be ile mechi moja tu ya jumamosi ambayo kuna kipind star tv walikuwa wanaonyesha
 
Keyser Söze;6957354 said:
Hawawezi kuonyesha epl,na kama wamesema ni marketing tu. Hiyo haki wanayo supersport, may be ile mechi moja tu ya jumamosi ambayo kuna kipind star tv walikuwa wanaonyesha

sasa wewe kama multchoice wanaomyesha epl kupitia ss3 kwa nini azam media ashindwe??? nikufanya tu makubaliano na supersport.
 
Hivi hawa Azam ile issue ya kuingiza mabasi mapya 100 ya kwenda mikoani ilifia wapi?
 
Kwanini DSTV waweze halafu AZAM wasiweze..??

haahaaaaa yn waoneshe epl kw 2000 kwa mwez au wanachekesh
right ya kuonesh epl kw sub sahara wanayo dstv na ile ya kuonesha mech 1 kwa wk kupitia fta wanayo optima sport labd watakua wanaonesh epl mech 1 kwa wik
 
sasa wewe kama multchoice wanaomyesha epl kupitia ss3 kwa nini azam media ashindwe??? nikufanya tu makubaliano na supersport.

wakitaka kukubalian lazima wapandish bei huwez kuona epl kwa sh 2000 kwa mwez wakat dstv ukitak kuona epl unaanzia 85000 kwa mwez
 
jamani eleweni kuwa uzinduzi bado haujafanyika bado.na kama hamjui bei ya king'amuzi mnyamaze.mi nipo azam tv head office na nafaham bei ya king'amuzi vizuri tu na malipo kwa mwezi sio buku 2 jamani.embu subirini vitoke alafu ndio muongee.customer service agent wa azam tv.
 
naomba tuwekane sawa ju ya hili.bei ya king'amuzi cha azam tv sio elfu 30 na kwa mwezi sio buku 2.muda ukifika mtajua na mtaelewa wadau.sio mdanganyane tu.
 
jamani eleweni kuwa uzinduzi bado haujafanyika bado.na kama hamjui bei ya king'amuzi mnyamaze.mi nipo azam tv head office na nafaham bei ya king'amuzi vizuri tu na malipo kwa mwezi sio buku 2 jamani.embu subirini vitoke alafu ndio muongee.customer service agent wa azam tv.

Taja hizo bei otherwise hakuna sababu ya wewe kuja jamvini na kukanusha bila vielelezo...
 
bei ya azam tv 65,000 hii ikiwa ni dikoda, dish dogo na malipo ya mwezi ukichukua pamoja na fundi inakuwa 95,000. malipo ya mwezi ni 15,000 kwa channel zote, hakuna itv wala astar tv na hawana ligi nyingine yeyote zaidi vpl ya kwetu bongo, huduma itaanza tarehe moja mwezi november.
 
Back
Top Bottom