tutapanda foleni kubwa mnoooo kununua, Azam unatisha
Jamaani hawa waarabu wanatuletea maendeleo makubwa sana tunawashukuru
tutapanda foleni kubwa mnoooo kununua, Azam unatisha
bei ya azam tv 65,000 hii ikiwa ni dikoda, dish dogo na malipo ya mwezi ukichukua pamoja na fundi inakuwa 95,000. malipo ya mwezi ni 15,000 kwa channel zote, hakuna itv wala astar tv na hawana ligi nyingine yeyote zaidi vpl ya kwetu bongo, huduma itaanza tarehe moja mwezi november.
bei ya azam tv 65,000 hii ikiwa ni dikoda, dish dogo na malipo ya mwezi ukichukua pamoja na fundi inakuwa 95,000. malipo ya mwezi ni 15,000 kwa channel zote, hakuna itv wala astar tv na hawana ligi nyingine yeyote zaidi vpl ya kwetu bongo, huduma itaanza tarehe moja mwezi november.
mbona tanga tuna dikoda unaona mechi zote za EPL, LA LIGA na nyingine zote kupitia Abu dhabi tv kwa 15000 tu kwa mwezi??
jamani eleweni kuwa uzinduzi bado haujafanyika bado.na kama hamjui bei ya king'amuzi mnyamaze.mi nipo azam tv head office na nafaham bei ya king'amuzi vizuri tu na malipo kwa mwezi sio buku 2 jamani.embu subirini vitoke alafu ndio muongee.customer service agent wa azam tv.
Kha...! VPL kwa 15000/= haya nayo ni majanga tu.
Kha...! VPL kwa 15000/= haya nayo ni majanga tu.
inaitwaje mkuu hiyo dikodambona tanga tuna dikoda unaona mechi zote za EPL, LA LIGA na nyingine zote kupitia Abu dhabi tv kwa 15000 tu kwa mwezi??