Hawa ni noma. Sijawahi kuwasikia wakitoa salamu za pasaka wala xmass kwa watazamaji wao.Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Tatizo lipo kwenye kuanzia kutangaza. Ajali imeondoa Watanzania saba (7), lakini Azam wao wanatangaza watano (5) wa kwao tu. Hii haijakaa sawa kabisaKuna kosa hapo sidhani kama miili ya hao madereva haikusafirishwa pamoja na hao marehemu wengine lakini pia inawezekana miili itatokea hapo Hospital ilipoifadhiwa kwenda kwa hao ndugu wa madereva direct bila kuja dar.. !! But all in all hapo pana tatizo
Niliwaza kuhusu hili pia, anywayHabarini wakuu...?
Poleni wafiwa wote kwanza
Mie nimeliona hili toka jana azam mnavyotangaza kufiwa na staff wenzenu
1. Kwanza mnatangaza sana watu watano badala ya 7, hata kama wale wawili sio staff wenu lakini mkumbuke ndio walikua wamewabeba staff wenu.
2. Mmefata miili ya staff watano tu, yan mmeshindwa hata kusaidia hiyo miili miwili ya wenzetu...
Mkumbuke lakini hata hao madereva ukute walikua wateja wenu kwa namna moja, lakini ninyi mmejiangalia kama ninyi tu kwenye shida.
Mungu mkubwa kupitia clouds fm nimewasikia madereva wa coaster wa biafra na external nao wamesema wanajipanga kusafirisha miili ya wenzao hao pia wizara ya utalii imesema itawasaidia....
NOTE
Azam kumbukeni hata msiba wa lucky Vicente serikali haikubagua kwamba huyu ni dereva alisababisha ajali au hawa ni wanafunzi na walimu, bali ilitoa heshima ya maziko kwa wote.View attachment 1149596
Mleta Uzi soma hii na futa uzi wako mara moja.
Habarini wakuu...?
Poleni wafiwa wote kwanza
Mie nimeliona hili toka jana azam mnavyotangaza kufiwa na staff wenzenu
1. Kwanza mnatangaza sana watu watano badala ya 7, hata kama wale wawili sio staff wenu lakini mkumbuke ndio walikua wamewabeba staff wenu.
2. Mmefata miili ya staff watano tu, yan mmeshindwa hata kusaidia hiyo miili miwili ya wenzetu...
Mkumbuke lakini hata hao madereva ukute walikua wateja wenu kwa namna moja, lakini ninyi mmejiangalia kama ninyi tu kwenye shida.
Mungu mkubwa kupitia clouds fm nimewasikia madereva wa coaster wa biafra na external nao wamesema wanajipanga kusafirisha miili ya wenzao hao pia wizara ya utalii imesema itawasaidia....
NOTE
Azam kumbukeni hata msiba wa lucky Vicente serikali haikubagua kwamba huyu ni dereva alisababisha ajali au hawa ni wanafunzi na walimu, bali ilitoa heshima ya maziko kwa wote.View attachment 1149596
Hawa ni noma. Sijawahi kuwasikia wakitoa salamu za pasaka wala xmass kwa watazamaji wao.
Kiukweli hawajatenda hakiInasikitisha kwa kweli. Walitakiwa wasafirishe miili yote saba. Walitakiwa wawasiliane na ndugu za hao madereva. Watu wabaguzi jamani. Tena kwenye matatizo jamani.
Teh....!Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Acha ukina dada wewe ukiendelea kuleta huu ukina bibi wako humu tutakufanyia mambo ya kirijaliHaya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
JamiiForums naomba hizi comments mziweke kwenye huo uzi hapo juu, ili watu waone ukweli ulipo.Na madereva wamesafirishwa pamoja na wafanyakazi wa Azam.
Labda kwa kuwa matangazo yao yanawataja wafanykazi hao watano ukahisi hao madereva wamewaacha.
Nipo karibu na familia ya dereva mmoja aliyefariki. Maiti imesafirishwa na Azam na imefika jana kwa njia ya ndege.
Tusipende kulaumu bila ya uthibitisho
mimi mwenyewe nlikuwa miongoni mwa waliopokea hizo maiti na zilikuwa 7 watanzania tuache kukurupuka kwa mambo msiyoyajua alafu mkipotezwa mnalalamika kumbe ni haki yenu
ALAFU WAKRISTO MNANISHANGAZAGA.MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAM MCHUNGU.Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Case closed (in Lemutuz voice)Na madereva wamesafirishwa pamoja na wafanyakazi wa Azam.
Labda kwa kuwa matangazo yao yanawataja wafanykazi hao watano ukahisi hao madereva wamewaacha.
Nipo karibu na familia ya dereva mmoja aliyefariki. Maiti imesafirishwa na Azam na imefika jana kwa njia ya ndege.
Tusipende kulaumu bila ya uthibitisho
Mnafiki wewee.Hawa ni noma. Sijawahi kuwasikia wakitoa salamu za pasaka wala xmass kwa watazamaji wao.
Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana