Azam huu nao ni ubaguzi

Azam huu nao ni ubaguzi

Tatizo la nchi hii mazwazwa ni wengi ndio maana kila wanachopelekewa wanakishabikia.wakiambiwa leo chagua huyu wao ndio kesho yule nihivi wao ndio.mwenye akili haropoki tu huanza kuliangalia hilo jambo kisha anatoa mchango wenye manufaa kwajamii.muliokuwa na akili zakushikiwa munatusumbua sana.wengine hadi mange aseme wengine hadi gazeti fulani liseme.tumieni akili zenu pumbavu
 
ALAFU WAKRISTO MNANISHANGAZAGA.MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAM MCHUNGU.
MBONA SIJAWAHI ONA RADIO MARIA IKIPIGA NASHEED.??!!
Radio Maria imesajiliwa kidini

Kama ilivyo kwa Redio Sauti ya Quran, Redio Kheri na Redio Iman

Je Azam Media imesajiliwa kidini?
 
Hakuna anaejua utaratibu wa hao ndugu wengine umepangwaje.mbona kuna wengine wa azam majeruhi wamepelekwa arusha badala ya dar hakuna anayehoji? Ni vyema ukapata info za uhakika kuliko kuanza kutoa lawama bila kuwa na taarifa za kutosha juu ya nini kilichojiri.
 
Ingekuwa waliofariki wte waislam tungeona udini lkn mbona wakristo wpo na walioajiriwa wpo wengi tu
 
ALAFU WAKRISTO MNANISHANGAZAGA.MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAM MCHUNGU.
MBONA SIJAWAHI ONA RADIO MARIA IKIPIGA NASHEED.??!!
🤣 🤣 🤣 🤣 Radio Maria ni redio ya Kikatoliki, purely KATOLIKI. Sio redio kama Uhai ama radio One ama Clouds. Ni kama redio Imani vile!
 
ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kila siku tulikuwa tuna aminishwa wafanyakazi karibia woote wa wa azam media ni ma ustaadhi tuu, kumbe na sisi tumo pia ndani ya azam media, huu msiba ndiyo umenifungua macho!, na inawezekana kabisa sisi akina john na catherine ndiyo wadini zaidi yao………………!
 
Inasikitisha kwa kweli. Walitakiwa wasafirishe miili yote saba. Walitakiwa wawasiliane na ndugu za hao madereva. Watu wabaguzi jamani. Tena kwenye matatizo jamani.
Licha ya ndg, uongozi wa hao madereva (tajiri mwenye hiyo gari) wangewasilian nae pia kwsbb sidhani km madereva walitaka kufa nao.
Ht mm nimesikia tangu jana wakitangazwa watu watano ilihali waliokuwa wamepoteza maisha ni 7.
 
Labda wale madereva hawana picha?
Maana wengine hatupendi kupiga picha.

Ila hata kama hawana picha wangeweka vivuli na majina yao.
 
Back
Top Bottom