Jinga hilo. Lina akili zileee za kukariri lugha ya halwa
Unachoongea ni Kweli kabisaila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kila siku tulikuwa tuna aminishwa wafanyakazi karibia woote wa wa azam media ni ma ustaadhi tuu, kumbe na sisi tumo pia ndani ya azam media, huu msiba ndiyo umenifungua macho!, na inawezekana kabisa sisi akina john na catherine ndiyo wadini zaidi yao………………!
afute!!!..udini unamsumbua,maana cha kukosoa hana,walidai azam inaajiri kidini,lakini katika marehemu..wengi ni wa dini isiyo ya azam
Habarini wakuu...?
Poleni wafiwa wote kwanza
Mie nimeliona hili toka jana azam mnavyotangaza kufiwa na staff wenzenu
1. Kwanza mnatangaza sana watu watano badala ya 7, hata kama wale wawili sio staff wenu lakini mkumbuke ndio walikua wamewabeba staff wenu.
2. Mmefata miili ya staff watano tu, yan mmeshindwa hata kusaidia hiyo miili miwili ya wenzetu...
Mkumbuke lakini hata hao madereva ukute walikua wateja wenu kwa namna moja, lakini ninyi mmejiangalia kama ninyi tu kwenye shida.
Mungu mkubwa kupitia clouds fm nimewasikia madereva wa coaster wa biafra na external nao wamesema wanajipanga kusafirisha miili ya wenzao hao pia wizara ya utalii imesema itawasaidia....
NOTE
Azam kumbukeni hata msiba wa lucky Vicente serikali haikubagua kwamba huyu ni dereva alisababisha ajali au hawa ni wanafunzi na walimu, bali ilitoa heshima ya maziko kwa wote.View attachment 1149596
Jambo ninalojiuliza kwanini siku zote baseless blaming zinaelekezwa Azam ??Waafrika tumelogwa na aliyetuloga alikufa kitambo hivi ata ungekuwa na roho ya shetani unaweza fanya jambo kama ilo? Kwamba ufike eneo last ajari ubebe mili ya wafanyakazi wako tu nyingine uiache hapo? Think twice bro ilo aliwezekani mnawabebesha watu lawama za bule kabisa.
Haya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Uthibitisho wako ni upi sasa au kuwa karibu, azam wamesema wamesafirisha miili 5 au wewe ndio ulikua rubaniNa madereva wamesafirishwa pamoja na wafanyakazi wa Azam.
Labda kwa kuwa matangazo yao yanawataja wafanykazi hao watano ukahisi hao madereva wamewaacha.
Nipo karibu na familia ya dereva mmoja aliyefariki. Maiti imesafirishwa na Azam na imefika jana kwa njia ya ndege.
Tusipende kulaumu bila ya uthibitisho
Mti wenye matunda kaka.Jambo ninalojiuliza kwanini siku zote baseless blaming zinaelekezwa Azam ??
Fungua tv yako piga kwaya mpuuzi wahid weeHaya ma azam Jana ndio yamelazimishwa kupiga nyimbo za kikristo tangu yafungue li TV lao wapuuzi sana
Njaa inakusumbua wewe,hela ya chai hujui utaipataje mxcuuuuSiwapendi AZAM kama kimba
Mkuu ukweli ni kwamba miili iliyokuja ni mitano,hiyo miwili imefatwa na kosta nyingine ya tajiri.Mkuu Nimepitia Pitia Comment Za Wajuzi Wa Mambo Hapo Juu Nimegundua Kuwa Katika Kusafirisha Miili Ya Marehemu Hakuna Ubaguzi Uliotokea Maana Wajuzi Wa Mambo Wanasema Miili Ilikuwa Saba Kunako Ndege Iliyosafirisha Miili Hiyo!!!!......Ila Mimi Nilipoumia Na Nlipoona Ubaguzi Ulipotokea Ni Jinsi Azam Wanavyotangaza Vifo Vya Staff Wao Watano Tu Na Huyo Dereva Na Msaidizi Wake Wanawekwa Kando Tafikiri Hata Wakitangazwa Watapata Kiki Kupitia Media Yao Ilihali Watu Wenyewe Washajipumzikia Zao Na Matatizo Ya Hapa Duniani Na Hakuna Faida Yoyote Watakayopata Marehemu Hao Wawili Hata Hao Watano Wao