Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

Mengine ya dini ni kuwaonea Azam. Tuache unafiki watanzania tunajua fika kuna taasisi nchi hii mpaka zimekua vigango vya madhehebu fulani.

Mimi sehemu pekee nayowalaumu ni kutotoa official statement ya kueleza kinagaubaga. Maana ikumbukwe awali walitueleza wataonyesha mechi zote. Kwenye hili nawalaumu. Maana kuondoa sintofahamu lazima uwaeleze walaji kwamba kutokana na 1,2,3, hatutaendelea, kuliko kutuacha kwenye suspense. Ni hayo tu!
 
Kisa Muislamu/Mwarabu sio! Chuki haijengi bali inabomoa,,,
Nimetaja dini hapo kwenye andiko langu?.Akili maji kabisa,wewe unayetaja dini pasipo stahili ndio mbaguzi No moja..Kwa taarifa yako mimi 60% yamarafiki zangu ni waislam,sina tatizo na dini hii kabisa.Na wala marafiki zangu hao hawana akili maji kama zako.
 
Mimi kwa sasa situmii Azam, Hadi lingi ya Tanzania itakapoanza. Washenzi Sana hawa jamma. Juzi nilinunua Ting nikidhani ni ya Dini. Kumbe NI nzuri Sana. Tunaangalia AFCON Safi kabisa. Na baadha ya michezo
 
Nimetaja dini hapo kwenye andiko langu?.Akili maji kabisa,wewe unayetaja dini pasipo stahili ndio mbaguzi No moja..Kwa taarifa yako mimi 60% yamarafiki zangu ni waislam,sina tatizo na dini hii kabisa.Na wala marafiki zangu hao hawana akili maji kama zako.

Ahaa so una chuki na waarabu sio?
 
Ahaa so una chuki na waarabu sio?
Akili maji tena,Soma andiko langu la kwanza.Nionyeshe nilipotaja neno"waarabu".Mimi nimechukizwa na services za Azam Tv,Hayo mawazo ya kidini na asili ya watu ni wewe umeleta..Hebu kuwa na akili kidogo,acha mihemko ya kijinga.
 
niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Ila hata ukitumia Anteanna si inakubali au dish tu?
 
Kama hiyo “roho za kikaburu” umemaanisha DsTV, uache kufananisha “makaburu” na vitu vya kijinga.... Azam TV ni kwajili ya mabeki tatu.
Kwa sasa king'amuzi cha Azam kinafaa kwa mabeki tatu tu.

Kila channel inaonyesha movie za kihindi na Korea 24/7 huu si upuuzi ?

Hivi wanatuona sisi ni wajinga sana tunapaswa kuangalia movie tu ? Halafu channel tulizozilipia wanaziondoa kwa makusudi yao hii siyo sawa.
 
Acha ufisadi wewe, azam ina channels ya bongo movie kutwa nzima, ina channels za mipira ya ligi kuu ina channels za mziki kutwa nzima, yte huyaoni haya unapandikiza chuki tu, et omani mara unaskia allah mara kaswida
Unatetea upuuzi kwani wewe ndiyo demu wake wajukuu wa Bakhressa ?

Hao jamaa king'amuzi chao sasa hivi hovyo sana zamani walikuwa wanabebwa na FTAs baada ya kuondolewa wamebaki na mamovie yao ya kiarabu na korea .

Hawa jamaa hovyo sana
 
Kama unapanga kutoka huko Kwenu Azam na kuja huku Kwetu StarTimes nakushauri lifikirie mara mbili mbili kwani unaweza ukawa unatoka katika afadhali na kwenda potelea mbali. Unatakiwa uwe na Uvumilivu mkubwa sana na Moyo wa kama wa Mwendawazimu vile kuwa Mteja wa StarTimes.
Tiba nikununua Dstv kwa wapenda michezo
 
Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?

Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?

Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Niko startimes toka kombe la dunia siwezi kununua hicho king'amuzi cha Azam
 
Kwa sasa king'amuzi cha Azam kinafaa kwa mabeki tatu tu.
Kila channel inaonyesha movie za kihindi na Korea 24/7 huu si upuuzi ?
Hivi wanatuona sisi ni wajinga sana tunapaswa kuangalia movie tu ? Halafu channel tulizozilipia wanaziondoa kwa makusudi yao hii siyo sawa.
Channel gani hiyo kwenye Azamtv wanaonesha movie za wakorea?
 
Unatetea upuuzi kwani wewe ndiyo demu wake wajukuu wa Bakhressa ?

Hao jamaa king'amuzi chao sasa hivi hovyo sana zamani walikuwa wanabebwa na FTAs baada ya kuondolewa wamebaki na mamovie yao ya kiarabu na korea .

Hawa jamaa hovyo sana
Imefikaje uko kunambie m demu wa bakhreesa, tunakua wote sio.[emoji55]
Unapenda sana mteremko, lipia kifurushi mega uone raha yake sio unaropokwa tu kenge ww
 
Back
Top Bottom