Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

startimes mkuu hawaoneshi africon. but wanaonesha bundasliga, serie A, mls, jupler league, ligi kuu scotland, ligi kuu uturuki, na ligi kuu sweden (kwa baadhi ya matches)
Na Copa America!
 
Baada ya kujua safu ya uongozi wa Azam media... Twende na media zingine... ITV, TBC etc?
Acha uongo bwana! Unasimulia kitu utadhani unatumia peke ako!
Mimi pia ni mwathirika wa kisimbuzi cha Azam kutoonyesha Afcon kuanzia hatua ya robo fainali ila,
Hata channel za kikristo zipo kwenye hiki king’amuzi..
Channel za historia,jografia&science zipo angalia vizuri kisimbuzi chako.
Kaswida na mambo ya dini ya kiislamu kwa channel ya ndani ni moja tu zbc2, kuna nyingne za kiislam za nje....Lakini pia zipo nyingine nyingi za kikristo kutoka nje.
Huenda unanunua kifurushi cha bei ya chini kabisa huwezi kuziona unaishia kulalama tu.
Labda ungekuja na hoja kwann safu ya uongozi walio wengi ni waislam hapo ningekuelewa kidoogo.
 
Umeelezea vizuri! Wasioelewa basi
Hayo ni mambo ya leseni. Kbc wana leseni ya kuonesha Afcon ndani ya Kenya hivyo kama kuna watu wamewauzia matangazo nje ya Kenya mpira ukianza lazima wazime vinginevyo watashtakiwa kwenda kinyume. Kuna wakati channel ya Uganda ilikuwa hivyo hivyo ikifika muda wa ucl inazimwa.
Ili kuonesha Afcon Tz ilibidi Azam anunue matangazo mwenyewe kama Dstv wanavyonunua
 
 
niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Wabongo bana shikamoo
 
King'amuzi cha Azam kimeletwa maalumu kwa ajili ya wazanzibari na waislam ukiangalia azam maudhui ya burudani ni michezo na sinema peke yake na hata sinema zingine zina mambo ya oman kama ya sultani kwa hivyo siyo rafiki sana kwa wapenda burudani bhasi kila ukifungua channeli unaskia Allahhhh....siyo kudhihaki lakini hawa jamaa strategy yao ya haijakaa kibishiara ila ki ajenda zaidi..
Chaneli zenye mafundisho pia ni haba kwa azam nikaamanisha chaneli za science,makala mbali mbali za kijografia na historia kwa mimi nimeona hakuna au zipo zinazobabaisha ... ila ukisogeza tuu qaswida..Tena ndo iwe ijuumaa sasa ...Aaaaah ah hh...
Hata mavazi na ajira pale idadi kubwa ni Islamic.
 
Acha ufisadi wewe, azam ina channels ya bongo movie kutwa nzima, ina channels za mipira ya ligi kuu ina channels za mziki kutwa nzima, yte huyaoni haya unapandikiza chuki tu, et omani mara unaskia allah mara kaswida
Acha kutetea upuuzi. Azam ni tatizo, hakuna burudani yoyote ya maana.
 
Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?

Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?

Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Azam wanazidi kujichimbia kaburi,yaani kila kona Tz watu wamelalamika sana hiki kitendo chao cha unyama mkubwa,AFCON tunaishia kusimuliwa tu ,hovyo kabisa
 
Ving'amuzi vya azam ni vya kwenda kuvitupa nje ya ofisi yao ili wapate ujumbe fulani hivi matata.....kazi kafala tu, nyambafu kabisa...
Hawajatoa stament yoyote ile kuhusu kusitisha kuonesha mashindano ya Afcon since last week
 
Ila utakuja ukipate kwa gharama kubwa maana dikoda tu bila card ni 80000, dikoda na kadi 120000 bila dishi.
Ni lazima kukitumia... Nimeshatumia miaka3 ..... Kikubwa ni ligi tu ya Tanzania tofauti na hilo sioni utofauti...
 
Acha kutetea upuuzi. Azam ni tatizo, hakuna burudani yoyote ya maana.
Burudani gani waitaka wewe ikutosheleze mpka ujisikie.!!!!
Azam inawaeka watu wa rika zote mpka sita usiku kwa kufuatilia vipindi vyao..
 
niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Oya wee haya ya kweli au?
Nimeanza kufatilia io strong 4922
 
Acha ufisadi wewe, azam ina channels ya bongo movie kutwa nzima, ina channels za mipira ya ligi kuu ina channels za mziki kutwa nzima, yte huyaoni haya unapandikiza chuki tu, et omani mara unaskia allah mara kaswida
Kwanin hawaoneshi AFCON?
 
Back
Top Bottom