Famyff
Member
- Mar 18, 2019
- 30
- 65
Kama ulivofeli wwAcha ujinga azam kafeli
Kama ulivofeli wwAcha ujinga azam kafeli
Unatetea upuuzi kwani wewe ndiyo demu wake wajukuu wa Bakhressa ?
Hao jamaa king'amuzi chao sasa hivi hovyo sana zamani walikuwa wanabebwa na FTAs baada ya kuondolewa wamebaki na mamovie yao ya kiarabu na korea.
Hawa jamaa hovyo sana
Acha ujinga azam kafeli
Channel gani hiyo kwenye Azamtv wanaonesha movie za wakorea?
startimes mkuu hawaoneshi africon. but wanaonesha bundasliga, serie A, mls, jupler league, ligi kuu scotland, ligi kuu uturuki, na ligi kuu sweden (kwa baadhi ya matches)
Na ile channel yao ya aisha magic east wanaonesha nini?Kama sio Dstv potezea. Ukitaka muvi na series za kibongo zinapatikana muda wote pale Maisha Magic Bongo tena kwa quality ya juu.
Azam ni matapeli kama matapeli wengine tu. Hujiulizi kwanini baada ya wao kufungiwa kuonyesha local channels still bei ilibaki ile ile wakati ki uhalisia wakati umenunua hizo decoder, bei ilihusisha na local channels?Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?
Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?
Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Kuna mazuri gani huko?hivi bado kuna watu wananunua vingámuzi vya kulipia tu karne hii? aisee hayo majanga mnajitakia wenyewe poleeni sana. wale tuliofunga madishi ya futi 6 na receivers za FREE TO AIR tunacheka kwa dharauuuu! hayo mambo ya kulipia ni zama za mawe za kati.
Azam = uislam .Watangazaji pia waislamu.
Aiseeee! Startimes kwa wenye dish wana channels nyingi kuliko kisimbusi chochote zinafika hadi 1000 hadi brazzers tv ya porno ipo ila ni ujuzi wako tu ili upate acces yake ionyeshe!
AFCON inaonekana startimes kwenye machanel ya nchi kibao ila kama una cha antena unaweza kukichoma moto ni mara elfu 50 Azam
Wanazingua sana sijui wanamaana gani
Tcra ndiyo wanatuangusha,maana ile promo ya Afcon ilikuwa kubwa sanaKabla ya hapo walisingizia msiba, hovyo sana hawa wauza barafu
Mkuu, piga picha tuoneniliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Kwani upo na TV?Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?
Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?
Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.