Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

Azam acheni roho mbaya za Kikaburu

Aiseeee! Startimes kwa wenye dish wana channels nyingi kuliko kisimbusi chochote zinafika hadi 1000 hadi brazzers tv ya porno ipo ila ni ujuzi wako tu ili upate acces yake ionyeshe!
AFCON inaonekana startimes kwenye machanel ya nchi kibao ila kama una cha antena unaweza kukichoma moto ni mara elfu 50 Azam
mkuu mimi ninacho cha dish nipe maujuzi niweze faudu hizo channels kibao!
 
Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?

Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?

Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Kbc hata dstv ukianza mpira wa afcon inapotea ,ilinitokea pale supersport 7 ilikuwa ina scratch kwenda kbc hola
 
Dekoda gani ya FTA unapata local zote za bongo? Tsh ngapi inauzwa?
niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
 
mkuu mimi ninacho cha dish nipe maujuzi niweze faudu hizo channels kibao!
Erase kila kitu alafu search channels upya, utaipata kisha utaifuta yenyewe tu na utaitafuta kwenye satellite yake kivyake

SatelliteTransponderPolarisationBeam
Astra 4A (4.8°E)B1HorizontalBSS Nordic
FrequencyStandardModulationSRFECNIDTID
11727.48 MHzDVB-S28PSK275005/685202
 
King'amuzi cha Azam kimeletwa maalumu kwa ajili ya wazanzibari na waislam ukiangalia azam maudhui ya burudani ni michezo na sinema peke yake na hata sinema zingine zina mambo ya oman kama ya sultani kwa hivyo siyo rafiki sana kwa wapenda burudani bhasi kila ukifungua channeli unaskia Allahhhh....siyo kudhihaki lakini hawa jamaa strategy yao ya haijakaa kibishiara ila ki ajenda zaidi..
Chaneli zenye mafundisho pia ni haba kwa azam nikaamanisha chaneli za science,makala mbali mbali za kijografia na historia kwa mimi nimeona hakuna au zipo zinazobabaisha ... ila ukisogeza tuu qaswida..Tena ndo iwe ijuumaa sasa ...Aaaaah ah hh...


Chuki zenu kwa waarabu/Waislamu hazitawasaidia chochote. Tangu Azam amefungua mnampiga vita sana kisa Mwarabu/Muislamu. Wewe unaongea kishabiki yani mfuata mkumbo tu, sasa movie ya sultan inahusiana nini na Oman!! Bora ungeuliza kwanza Sultan movie kutoka wapi na Nchi ya Oman iko wapi.
 
niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Masafa yalibadirika inakuaje mpaka umtafute fundi? Unatumia kuband au cband?
 
King'amuzi cha Azam kimeletwa maalumu kwa ajili ya wazanzibari na waislam ukiangalia azam maudhui ya burudani ni michezo na sinema peke yake na hata sinema zingine zina mambo ya oman kama ya sultani kwa hivyo siyo rafiki sana kwa wapenda burudani bhasi kila ukifungua channeli unaskia Allahhhh....siyo kudhihaki lakini hawa jamaa strategy yao ya haijakaa kibishiara ila ki ajenda zaidi..
Chaneli zenye mafundisho pia ni haba kwa azam nikaamanisha chaneli za science,makala mbali mbali za kijografia na historia kwa mimi nimeona hakuna au zipo zinazobabaisha ... ila ukisogeza tuu qaswida..Tena ndo iwe ijuumaa sasa ...Aaaaah ah hh...
Acha uongo bwana! Unasimulia kitu utadhani unatumia peke ako!
Mimi pia ni mwathirika wa kisimbuzi cha Azam kutoonyesha Afcon kuanzia hatua ya robo fainali ila,
Hata channel za kikristo zipo kwenye hiki king’amuzi..
Channel za historia,jografia&science zipo angalia vizuri kisimbuzi chako.
Kaswida na mambo ya dini ya kiislamu kwa channel ya ndani ni moja tu zbc2, kuna nyingne za kiislam za nje....Lakini pia zipo nyingine nyingi za kikristo kutoka nje.
Huenda unanunua kifurushi cha bei ya chini kabisa huwezi kuziona unaishia kulalama tu.
Labda ungekuja na hoja kwann safu ya uongozi walio wengi ni waislam hapo ningekuelewa kidoogo.
 
Halafu sultan ni tamthilia ya ki-Turkey (uturuki) na sio Oman kama unavyodai.
Tamthilia hii ilikuwa inaonyeshwa azam Two na huwezi kuilaumu azam wao sio waliotunga ama kucheza filamu hiyo wao walikuwa wanaonyesha tu kama ilivyo kwa tamthilia nyingine.
Unataka kusema beintehaa (wahindi) betrayal (wafilipino) na fatmagul (uturuki) nazo pia za kiislamu?
 
Mungu keshatubainishia ishara na tunashuhudia kwa macho chuki za hawa viumbe. Wanatamka kwa kuchukia muislamu kumiliki ata television channel, je vipi yaliokua katika vifua vyao.
Jaman waislamu turudini katika dini, hakika dini ya Uislamu n ya kweli tufate mafundisho yake
 
azam ni janga yaaani ikitokea tu tpl imepata channel nyingine hawa waarabu itakula kwao...wanauza dish zao nchi tofauti lakini cha ajabu baadhi ya channel wanazikata mfano mtu anaeishi malawi au uganda anakinunua ki dish chao ili mambo ya tz yasimpite cha ajabu wao wanakata baadhi channel mfano sa iv utv haioneshi kwa dish za malawi kitu ambacho walonunua wanakosa habari za utv
AZAM TV ACHENI UKENGE
 
Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?

Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?

Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Hayo ni mambo ya leseni. Kbc wana leseni ya kuonesha Afcon ndani ya Kenya hivyo kama kuna watu wamewauzia matangazo nje ya Kenya mpira ukianza lazima wazime vinginevyo watashtakiwa kwenda kinyume. Kuna wakati channel ya Uganda ilikuwa hivyo hivyo ikifika muda wa ucl inazimwa.
Ili kuonesha Afcon Tz ilibidi Azam anunue matangazo mwenyewe kama Dstv wanavyonunua
 
King'amuzi cha Azam kimeletwa maalumu kwa ajili ya wazanzibari na waislam ukiangalia azam maudhui ya burudani ni michezo na sinema peke yake na hata sinema zingine zina mambo ya oman kama ya sultani kwa hivyo siyo rafiki sana kwa wapenda burudani bhasi kila ukifungua channeli unaskia Allahhhh....siyo kudhihaki lakini hawa jamaa strategy yao ya haijakaa kibishiara ila ki ajenda zaidi..
Chaneli zenye mafundisho pia ni haba kwa azam nikaamanisha chaneli za science,makala mbali mbali za kijografia na historia kwa mimi nimeona hakuna au zipo zinazobabaisha ... ila ukisogeza tuu qaswida..Tena ndo iwe ijuumaa sasa ...Aaaaah ah hh...
Watangazaji pia waislamu.
 
azam ni janga yaaani ikitokea tu tpl imepata channel nyingine hawa waarabu itakula kwao...wanauza dish zao nchi tofauti lakini cha ajabu baadhi ya channel wanazikata mfano mtu anaeishi malawi au uganda anakinunua ki dish chao ili mambo ya tz yasimpite cha ajabu wao wanakata baadhi channel mfano sa iv utv haioneshi kwa dish za malawi kitu ambacho walonunua wanakosa habari za utv
AZAM TV ACHENI UKENGE
Mzee ving'amuzi si vipo Vingi; mwanaume acha kulia kulia toa pesa mfukuni kanunue zuku, dstv, star times, nk.
 
Nimelalamika wapi....
mkuu; unajikataa tena kwamba hujalalama;
Kila king'amuzi kina mapungufu yake
Hata uko dstv bila kununua cha laki na elfu Tisa.utapata channelz uchwara tu.

Ndiomana sasa hivi watu katika nyumba mmoja unakuta wanamiliki king'amuzi si chini ya viwili. Kama uchumi mdogo madhara ndo haya kulalama.
 
Back
Top Bottom