mosabiy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,521
- 1,932
NAONA NA WAO WAMELIANZISHA KUPINGA MFUMO KRISTU KISOMI ZAIDI BILA VURUGU.Watangazaji pia waislamu.
NAONA NA WAO WAMELIANZISHA KUPINGA MFUMO KRISTU KISOMI ZAIDI BILA VURUGU.Watangazaji pia waislamu.
hata hyo niliyonunulia azam sikukuomba wwMzee ving'amuzi si vipo Vingi; mwanaume acha kulia kulia toa pesa mfukuni kanunue zuku, dstv, star times, nk.
sasa humo azam kunaoneshwa channel gani?Hadi ile channel ya MUTV haionyeshi
Hiyo atotokea mkuu,maana azam wameiweka kwenye kiganja tifua tifuaIkitokea Dstv wakanunua TPL,azam watakuwa na hali mbaya sanaa
😂 😂 😂 😂Kama sio dstv potezea
ingekuwa rahis hivyo si kila mtu angetega mkuu?niliyonayo inaitwa STRONG 4922 nlinunua laki mbili, napata local channels karibia zote free silipii daima, pia napata channels za movies kali na mpya kila siku, wanyama, mpira ligi kama zote bure silipii na sitakuja kulipia daima. channels kama 1000+ satellite tofauti bureeeeee! nlichofanya nimetega dish kwenye satellite tofauti zinazorusha channels bure bila malipo. wanachokifanya azam na maboya wengine kama zuku wanazitafuta channels nyingi kwenye satellite tofauti kisha wanazikusanya kwenye kingámuzi kimoja ndo wanawalipisha, ila kama unadishi lako unatega tu mwenyewe unajitafutia channels unazopenda, tena ziko nyingi hadi utachoka kutazama.
Sawa; acha kulia ovyo ovyo sasa mitandaoni.hata hyo niliyonunulia azam sikukuomba ww
nb:mfukoni-------mfukuni
sawa mtoto wa bakhresa ila mwambie TPL ikipata mtu mwingine hizo channel zake ataonesha mpaka kitimoto kinavyopikwaSawa; acha kulia ovyo ovyo sasa mitandaoni.
Kila television na maudhui yake usi force zote zifanane.
Watangazaji pia waislamu.
sawa mtoto wa bakhresa ila mwambie TPL ikipata mtu mwingine hizo channel zake ataonesha mpaka kitimoto kinavyopikwa
Duh.Ving'amuzi vya azam ni vya kwenda kuvitupa nje ya ofisi yao ili wapate ujumbe fulani hivi matata.....kazi kafala tu, nyambafu kabisa...
Masafa yalibadirika inakuaje mpaka umtafute fundi? Unatumia kuband au cband?
ingekuwa rahis hivyo si kila mtu angetega mkuu?
Hahaha dua la kuku ilo mkuu; Nani wakueka Mzigo mwingi zaidi ya azam wewe; hao dstv kuzamini hata TPL wameshindwa.sawa mtoto wa bakhresa ila mwambie TPL ikipata mtu mwingine hizo channel zake ataonesha mpaka kitimoto kinavyopikwa
Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hivi chanel ya kbc ambayo nimeilipia inawahusu nini?
Kwa nini kila mpira ukitaka kuanza mnazifunga chanel zao kwenye li mbuzi lenu?
Aisee natamani mnirudishie hela yangu nilipie startimes.
Ving'amuzi vya azam ni vya kwenda kuvitupa nje ya ofisi yao ili wapate ujumbe fulani hivi matata.....kazi kafala tu, nyambafu kabisa...
Chuki zenu kwa waarabu/Waislamu hazitawasaidia chochote. Tangu Azam amefungua mnampiga vita sana kisa Mwarabu/Muislamu. Wewe unaongea kishabiki yani mfuata mkumbo tu, sasa movie ya sultan inahusiana nini na Oman!! Bora ungeuliza kwanza Sultan movie kutoka wapi na Nchi ya Oman iko wapi.