Azam Media ni Shirika binafsi sio serikali wanayo haki ya kuajili wapendavyo, hata wewe ukifungua mradi au kampuni yako ukawajaza ndugu zako au Wagalatia wenzako hakuna atakaekuuliza maana mali ni yako ulitafuta kwa jasho lako.
Na ukisema unataka uwiano njoo kwenye serikali ambayo imechaguliwa na waislam, wakristo na wasiokuwa na dini, kwa ujumla wake tunasema serikali ama Rais amechaguliwa na wananchi wote ila angalia nafasi za wakuu wa wilaya nchi nzima, wakuu wa mikoa, baraza la mawaziri, makamishna na wakuu wa idara nyingi za serikali, wengi ni wakristo mbona hulioni hili?
Unamsakama raia ambaye ametafuta mali kwa jasho lake na bado unataka kumpangia jinsi gani aajili wafanyakaxi wake! Huo ni uzwazwa na wivu tu umekujaa!